CHADEMA wajue hawapo juu Kisheria

CHADEMA wajue hawapo juu Kisheria

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Wakati kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA ikiendelea ingekuwa vizuri kwa uongozi wa Chadema kuacha kutolea lugha za kejeli dhidi ya vyombo vya usalama pamoja na kuingilia uhuru wa Mahakama. Tunajua haki dhidi ya Mbowe itapatikana kama watanzania wengine.

Kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kupitia mitandao ya kijamii ama press conference katika makao makuu ya CHADEMA hiyo inaonesha chama hicho hakijakomaa kisiasa ama ni chama kinachotaka kuanzisha vurugu za kisiasa hapa nchini.
 
Haya majizi ndiyo yanastahili kuwa juu ya sheria. Yanakwiba, yanafisadi, yanapora, yanabambikia kesi na yanaua lakini hayaguswi na mkono wa sheria.


Wakati kesi ya Mwenyekiti wa Chadema ikiendelea ingekuwa vizuri kwa uongozi wa Chadema kuacha kutolea lugha za kejeli dhidi ya vyombo vya usalama pamoja na kuingilia uhuru wa Mahakama. Tunajua haki dhidi ya Mbowe itapatikana kama watanzania wengine. Kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kupitia mitandao ya kijamii ama press conference katika makao makuu ya Chadema hiyo inaonesha chama hicho hakijakomaa kisiasa ama ni chama kinachotaka kuanzisha vurugu za kisiasa hapa nchini.
 
Haya majizi ndiyo yanastahili kuwa juu ya sheria. Yanakwiba, yanafisadi na yanaua lakini hayaguswi.

Madhambi ya CCM isiwe sababu ya CHADEMA kudharau Mahakama
 
Mahakama iliyokubali kutumikia siasa chafu itatoa wapi heshima? Kwa taarifa yako kwa hapa ilipofikia ccm, ni lazima machafuko yatokee ili turudi kwenye mfumo wa utawala wa sheria. Kwa sasa chama kilichopitwa na wakati kinanajisi utawala mzima wa sheria ili kiendelee kukaa madarakani kwa shuruti.
ya CCM isiwe sababu ya CHADEMA kudharau Mahakama
 
Wakati kesi ya Mwenyekiti wa Chadema ikiendelea ingekuwa vizuri kwa uongozi wa Chadema kuacha kutolea lugha za kejeli dhidi ya vyombo vya usalama

Wamekejeli kwa namna ipi? Una mifano ya kejeli hizo au ni akili zako zinafikiri zimefikiri na kuandika hivyo..?
pamoja na kuingilia uhuru wa Mahakama.

Unaelewa maana na dhana ya kuingilia mahakama kweli wewe? Au unadhani mtu akitaja kesi fulani tu iliyoko mahakamani basi anakuwa ameingilia mahakama...?

I think there is a need for you to impart yourself with knowledge about this so that you could be able to avoid speaking publicly things which you don't know...
Tunajua haki dhidi ya Mbowe itapatikana kama watanzania wengine.

Haki ni lazima itendedeke na ionekane inatendeka. Kinyume chake, hawawezi kuzuia watu kulalamika na kusema kwa sauti kubwa sana...!!
Kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kupitia mitandao ya kijamii ama press conference katika makao makuu ya Chadema hiyo inaonesha chama hicho hakijakomaa kisiasa ama ni chama kinachotaka kuanzisha vurugu za kisiasa hapa nchini.
This is too low my friend...

Umekaririshwa ujinga nawe unaumwaga hadharani kwa watu wenye akili na ufahamu...

Wewe kwa hakika huelewi na hujui maana na dhana zima ya "kuingilia mahakama". Jipe muda ujifunze, utaelewa...

Otherwise acha kuanika ujinga wako hadharani ukiamini unajua wakati hujui...!

NB: Kama hukumu imetoka, maana yake shauri limeikwisha. Kwa hatua hiyo, ni ruksa kila mtu kujadili hukumu iliyotolewa na mahakama...!!
 
Wamekejeli kwa namna ipi? Una mifano ya kejeli hizo au ni akili zako zinafikiri zimefikiri na kuandika hivyo..?


Unaelewa maana na dhana ya kuingilia mahakama kweli wewe? Au unadhani mtu akitaja kesi fulani tu iliyoko mahakamani basi anakuwa ameingilia mahakama...?

I think there is a need for you to impart yourself with knowledge about this so that you could be able to avoid speaking publicly things which you don't know...


Haki ni lazima itendedeke na ionekane inatendeka. Kinyume chake, hawawezi kuzuia watu kulalamika na kusema kwa sauti kubwa sana...!!

This is too low my friend...

Umekaririshwa ujinga nawe unaumwaga hadharani kwa watu wenye akili na ufahamu...

Wewe kwa hakika huelewi na hujui maana na dhana zima ya "kuingilia mahakama". Jipe muda ujifunze, utaelewa...

Otherwise acha kuanika ujinga wako hadharani ukiamini unajua wakati hujui...!

NB: Kama hukumu imetoka, maana yake shauri limeikwisha. Kwa hatua hiyo, ni ruksa kila mtu kujadili hukumu iliyotolewa na mahakama...!!
Kuna wqtu ni wajinga sana. Hawajui sheria, hawajui katiba, hawajui misingibya utawala bora, lakini wanajifanya kuwafundisha wanaoelewa.

Baada ya mahakama kutoa hukumu, watu wana haki ya kusema kama mahakama imetenda haki au imekengeuka, kama alivyofanya Mustapha. Na ndiyo maana watu wanakata rufaa. Kukata rufaa maana yake anayefanya hivyo anaamini hakimu au jaji hakutenda haki.
 
Wakati kesi ya Mwenyekiti wa Chadema ikiendelea ingekuwa vizuri kwa uongozi wa Chadema kuacha kutolea lugha za kejeli dhidi ya vyombo vya usalama pamoja na kuingilia uhuru wa Mahakama. Tunajua haki dhidi ya Mbowe itapatikana kama watanzania wengine. Kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kupitia mitandao ya kijamii ama press conference katika makao makuu ya Chadema hiyo inaonesha chama hicho hakijakomaa kisiasa ama ni chama kinachotaka kuanzisha vurugu za kisiasa hapa nchini.
Rais alipomteua jaji kuwa jaji kiongozi ni kuingiliwa uhuru wa mahakama ni kishawishi, ukumbuke Rais aliongelea kesi ya mbowe BBC kwa Lugha nyepesi CCM wameingilia mahakama kwa kiasi kikubwa ndiyo maana ushahidi wa upande wa mbowe wenye kuzingatia PGO haukuzingatiwa badala yake jaji wa CCM kachukua ushahidi wa Polisiccm ambao ni ushahidi wa kutengeneza kwa njia haramu za kishetani, CCM haipo juu ya Sheria
 
Kuna wqtu ni wajinga sana. Hawajui sheria, hawajui katiba, hawajui misingibya utawala bora, lakini wanajifanya kuwafundisha wanaoelewa.

Baada ya mahakama kutoa hukumu, watu wana haki ya kusema kama mahakama imetenda haki au imekengeuka, kama alivyofanya Mustapha. Na ndiyo maana watu wanakata rufaa. Kukata rufaa maana yake anayefanya hivyo anaamini hakimu au jaji hakutenda haki.
PGO imekiukwa watuhumiwa waliteswa walipigwa sana kufungwa pingu saa 24 kila siku, Mbona walinzi wa Sabaya hawakufanyiwa unyama huo? Polisiccm wapo kwa ajili ya uonevu unyanyasaji wa CCM tu
 
Wamekejeli kwa namna ipi? Una mifano ya kejeli hizo au ni akili zako zinafikiri zimefikiri na kuandika hivyo..?


Unaelewa maana na dhana ya kuingilia mahakama kweli wewe? Au unadhani mtu akitaja kesi fulani tu iliyoko mahakamani basi anakuwa ameingilia mahakama...?

I think there is a need for you to impart yourself with knowledge about this so that you could be able to avoid speaking publicly things which you don't know...


Haki ni lazima itendedeke na ionekane inatendeka. Kinyume chake, hawawezi kuzuia watu kulalamika na kusema kwa sauti kubwa sana...!!

This is too low my friend...

Umekaririshwa ujinga nawe unaumwaga hadharani kwa watu wenye akili na ufahamu...

Wewe kwa hakika huelewi na hujui maana na dhana zima ya "kuingilia mahakama". Jipe muda ujifunze, utaelewa...

Otherwise acha kuanika ujinga wako hadharani ukiamini unajua wakati hujui...!

NB: Kama hukumu imetoka, maana yake shauri limeikwisha. Kwa hatua hiyo, ni ruksa kila mtu kujadili hukumu iliyotolewa na mahakama...!!
Rais alianza kuiongelea kesi ikiwa mahakamani tayari CCM walikwisha ingilia Uhuru wa mahakama tokea awali
 
Mahakama iliyokubali kutumikia siasa chafu itatoa wapi heshima? Kwa taarifa yako kwa hapa ilipofikia ccm, ni lazima machafuko yatokee ili turudi kwenye mfumo wa utawala wa sheria. Kwa sasa chama kilichopitwa na wakati kinanajisi utawala mzima wa sheria ili kiendelee kukaa madarakani kwa shuruti.
Mahakama inaenda kuwa mahakamaccm kama zilivyokuwa Tumeccm, Polisiccm, Msajiliccm ni Aibu mhimili wa mahakama kutekwa kwa zawadi ya kupandishwa vyeo
 
Jaji kiongozi baada ya kufanya vioja mahakamaccm ni Aibu kubwa Duniani, jaji aliyepuuza PGO kupandishwa cheo kwa njia haramu za kishetani, hii ni mbaya sana kwani inaenda kufanya mahakamaccm paonekane ni ofisi binafsi za CCM kuwaonea kuwabambikia wapinzani
 
Kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kupitia mitandao ya kijamii ama press conference katika makao makuu ya Chadema hiyo inaonesha chama hicho hakijakomaa kisiasa ama ni chama kinachotaka kuanzisha vurugu za kisiasa hapa nchini.
Hamza mmoja kuwaua hawa jamaa 6 na kujeruhi 9 inaonesha hawakuiva kimafunzo.

Na kuendelea kukamata BAWACHA ni dalili ya kwamba hawa jamaa wanataka kuleta vurugu nchini.
 
Wakati kesi ya Mwenyekiti wa Chadema ikiendelea ingekuwa vizuri kwa uongozi wa Chadema kuacha kutolea lugha za kejeli dhidi ya vyombo vya usalama pamoja na kuingilia uhuru wa Mahakama. Tunajua haki dhidi ya Mbowe itapatikana kama watanzania wengine. Kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kupitia mitandao ya kijamii ama press conference katika makao makuu ya Chadema hiyo inaonesha chama hicho hakijakomaa kisiasa ama ni chama kinachotaka kuanzisha vurugu za kisiasa hapa nchini.
Acha upumbavu mh: hakimu kila mtu anajua vyombo vyote vya Tanzania ( Nchi nyingi za Afrika ) HAVIPO HURU bali vipo chini ya chama tawala na Rais.

Mfano kesi ya Sabaya TISS walikuwa wapi wakati yale yote yanafanyika ? Jibu ni kwa kuwa alikuwa mwanaccm mwenzao au mteuliwa wa Rais.

Mahakama nazo zinafunga watu maskini tu MATAJIRI na MAFISADI PAPA wote wapo nje au juu ya sheria. Nchi hii ukiwa kiongozi au Mwanaccm basi hakuna chombo cha sheria kitakugusa.

WANANCHI SIO WAPUMBUVU.
 
Madhambi ya CCM isiwe sababu ya CHADEMA kudharau Mahakama
Mahakama imeonesha ipo chini ya RAIS kwa kuwa ndiye anaye wateua MAJAJI.

INAJIDHARAURISHA MNO. NCHI TAJIRI HAENDI JERA.
 
Haya majizi ndiyo yanastahili kuwa juu ya sheria. Yanakwiba, yanafisadi, yanapora, yanabambikia kesi na yanaua lakini hayaguswi na mkono wa sheria.

Pesa inayotumika kuidhoofisha chadema ni pesa nyingi sana ni pesa ambazo zingeweza kujenga daraja tokea Zanzibar mpaka hapo Dsm na maendeleo mengine ikiwemo vyuo vikuu Hosptal za rufaa kila wilaya, Polisiccm na CCM hawataki maendeleo mda huu wao kazi ni moja kuua upinzani kuitokomeza chadema wamesahau kuwa upinzani upo moyoni mwa watu na mda wote wanaandamana Rohoni kumlilia mungu dhidi ya udhalimu wa CCM
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mahakama imeonesha ipo chini ya RAIS kwa kuwa ndiye anaye wateua MAJAJI.

INAJIDHARAURISHA MNO. NCHI TAJIRI HAENDI JERA.
Zawadi ya vyeo kwa majaji wote ni kuhakikisha wanawaonea chadema kwa kiwango cha kutisha bila Aibu wala kumuogopa mungu
 
Back
Top Bottom