CHADEMA wajue hawapo juu Kisheria

CHADEMA wajue hawapo juu Kisheria

Mahakama INAJIDHARAULISHA yenyewe kwa kukubali kuingiliwa UHURU wake na kufanywa kama KITENGO cha maccm kinachosaidia katika kuimarisha UDIKTETA na UDHALIMU nchini,
Tanzania haijafikia utawala wa kidekteta nenda Rwanda,Uganda, Egypt upate kujua maana halisia ya Udikteta.
Haya majizi ndiyo yanastahili kuwa juu ya sheria. Yanakwiba, yanafisadi, yanapora, yanabambikia kesi na yanaua lakini hayaguswi na mkono wa sheria.

 
Wamekejeli kwa namna ipi? Una mifano ya kejeli hizo au ni akili zako zinafikiri zimefikiri na kuandika hivyo..?


Unaelewa maana na dhana ya kuingilia mahakama kweli wewe? Au unadhani mtu akitaja kesi fulani tu iliyoko mahakamani basi anakuwa ameingilia mahakama...?

I think there is a need for you to impart yourself with knowledge about this so that you could be able to avoid speaking publicly things which you don't know...


Haki ni lazima itendedeke na ionekane inatendeka. Kinyume chake, hawawezi kuzuia watu kulalamika na kusema kwa sauti kubwa sana...!!

This is too low my friend...

Umekaririshwa ujinga nawe unaumwaga hadharani kwa watu wenye akili na ufahamu...

Wewe kwa hakika huelewi na hujui maana na dhana zima ya "kuingilia mahakama". Jipe muda ujifunze, utaelewa...

Otherwise acha kuanika ujinga wako hadharani ukiamini unajua wakati hujui...!

NB: Kama hukumu imetoka, maana yake shauri limeikwisha. Kwa hatua hiyo, ni ruksa kila mtu kujadili hukumu iliyotolewa na mahakama...!!
Wajinga mojawapo ni watu wa aina yako tena nitakuita Mpumbavu no 1. Huwezi ukaishi kwenye nchi yenye utawala wa kisheria mkaleta mambo ya kipumbavu haiwezekani kila Jaji akiaanza kusikiliza kesi ya Mbowe anakuwa mbaya je unafahamu Mbowe atakuwa na haki ya kukataa rufa mpaka mahakama ya rufaa ambapo majaji 3 watatoa hukumu yao. Tatizo lenu ni kuwa wajuaji wa Kipumbavu kama wewe kukaa kwenye mitandao na kuingilia mwenendo wa kesi iliyopo mahakamani ama mlitaka Jaji ateuliwe na wazee wa CHADEMA kusikiliza hii kesi ?
 
Wangekuwa juu ya sheria Sabaya angekua anadunda tu mtaani lakini kafungwa kwa ajili ya wakora wa chadema.

..Sabaya ametemwa na CCM ndio maana wamemfunga.

..Mbona wahuni wenzake kama Mh.Mnyeti ambaye ushahidi dhidi yake ulipelekwa Takukuru wako mtaani anadunda?
 
Haya majizi ndiyo yanastahili kuwa juu ya sheria. Yanakwiba, yanafisadi, yanapora, yanabambikia kesi na yanaua lakini hayaguswi na mkono wa sheria.

MWIZI NI MBOWE KAWAIBIA SANA CHADEMA ANAJIKODISHA MWENYEWE ANAJILIPA MWENYEWE ULIONA WAPI WABUNGE WA KUTEULIWA WANALIPA HELA KWAKE ULIONA WAPI? MBONA CCM HAKUNA YAANI MMESHAFANYWA WAJINGA VYA KUTOSHA MPAKA ANAAMUA KUFANYA UGAIDI DOLL AINA MONO MREFU IMEMKAMATA MWACHENI APUMZIKE HUKO UNAONA SASAHIVI NA HALI YA NCHI IMEKUWA SHWARI AACHE UPUMBAVU WAKE HUYO MBOWE NI GAIDI
 
Machafuko thubutu!
Kamuulize Lissu aliyeitisha maandamano yasiyokoma,Kama alionekana siku hiyo.
Machafuko ya JF mtandaoni sawa.

Hata Mugabe na Elbashir walitamba kama CCM ilivyo sasa, leta mrejesho wa kilichowatokea.
 
Huu ni UFINYU mkubwa wa akili. Hakuna tofauti yoyote ile katika yanayotokea Tanzania na nchi hizo. Acha kujitoa ufahamu!!!

Tanzania haijafikia utawala wa kidekteta nenda Rwanda,Uganda, Egypt upate kujua maana halisia ya Udikteta.
 
Wakati kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA ikiendelea ingekuwa vizuri kwa uongozi wa Chadema kuacha kutolea lugha za kejeli dhidi ya vyombo vya usalama pamoja na kuingilia uhuru wa Mahakama. Tunajua haki dhidi ya Mbowe itapatikana kama watanzania wengine.

Kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kupitia mitandao ya kijamii ama press conference katika makao makuu ya CHADEMA hiyo inaonesha chama hicho hakijakomaa kisiasa ama ni chama kinachotaka kuanzisha vurugu za kisiasa hapa nchini.
Kwa hapa tulipofikia sidhani kama tunaweza kujenga hoja inayoendeleza upuuzi wa kisheria dhidi ya demokrasia nchini.

Hizi mada za kishabiki ni kama kuunga mkono mchezo wa Mahakama kutumika kama kichaka cha kutoa kinga kwa wanaovusha sheria za nchi kwa makusudi hapo nawaongelea polisi na CCM.

Tuache haya mambo, turudi kama nchi tutengeneze mustakabali mpya usio na mazongezonge kama ya kina Kingai na Siyani
 
Mahakama ya Tanzania tunaomba ijitathimini, kwa kitendo cha kutoa hukumu kama ile ambayo itadumu hadi kizazi kijacho kama rejea ni hatari sana kwa ustawi wa taifa huru lenye HAKI na Usawa.

Please, Please, kujisahihisha si dhambi.
Hawa wote wanakanyaga haki za watz kutokana na ubovu uliyomo kwenye katiba hii iliyopo. KATIBA mpya ndio dawa. Wakati wa katiba mpya ni sasa.
 
MWIZI NI MBOWE KAWAIBIA SANA CHADEMA ANAJIKODISHA MWENYEWE ANAJILIPA MWENYEWE ULIONA WAPI WABUNGE WA KUTEULIWA WANALIPA HELA KWAKE ULIONA WAPI? MBONA CCM HAKUNA YAANI MMESHAFANYWA WAJINGA VYA KUTOSHA MPAKA ANAAMUA KUFANYA UGAIDI DOLL AINA MONO MREFU IMEMKAMATA MWACHENI APUMZIKE HUKO UNAONA SASAHIVI NA HALI YA NCHI IMEKUWA SHWARI AACHE UPUMBAVU WAKE HUYO MBOWE NI GAIDI
Pole ndugu,
OIP.MMpI4e8wM5OkSussq6UizAHaHa
 
Wakati kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA ikiendelea ingekuwa vizuri kwa uongozi wa Chadema kuacha kutolea lugha za kejeli dhidi ya vyombo vya usalama pamoja na kuingilia uhuru wa Mahakama. Tunajua haki dhidi ya Mbowe itapatikana kama watanzania wengine.

Kuendelea kuingilia uhuru wa Mahakama kupitia mitandao ya kijamii ama press conference katika makao makuu ya CHADEMA hiyo inaonesha chama hicho hakijakomaa kisiasa ama ni chama kinachotaka kuanzisha vurugu za kisiasa hapa nchini.
Wambambikie tujue Moja naona unachukinao ya kiwango Cha sgr.
 
Wajinga mojawapo ni watu wa aina yako tena nitakuita Mpumbavu no 1. Huwezi ukaishi kwenye nchi yenye utawala wa kisheria mkaleta mambo ya kipumbavu haiwezekani kila Jaji akiaanza kusikiliza kesi ya Mbowe anakuwa mbaya je unafahamu Mbowe atakuwa na haki ya kukataa rufa mpaka mahakama ya rufaa ambapo majaji 3 watatoa hukumu yao. Tatizo lenu ni kuwa wajuaji wa Kipumbavu kama wewe kukaa kwenye mitandao na kuingilia mwenendo wa kesi iliyopo mahakamani ama mlitaka Jaji ateuliwe na wazee wa CHADEMA kusikiliza hii kesi ?
Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu Yaani mtoe Rushwa ya cheo kwa jaji kisha utake chadema wakae kimya? huo upumbavu wa kubambikiana kesi kwa njia haramu za kishetani utauacha lini?
 
MWIZI NI MBOWE KAWAIBIA SANA CHADEMA ANAJIKODISHA MWENYEWE ANAJILIPA MWENYEWE ULIONA WAPI WABUNGE WA KUTEULIWA WANALIPA HELA KWAKE ULIONA WAPI? MBONA CCM HAKUNA YAANI MMESHAFANYWA WAJINGA VYA KUTOSHA MPAKA ANAAMUA KUFANYA UGAIDI DOLL AINA MONO MREFU IMEMKAMATA MWACHENI APUMZIKE HUKO UNAONA SASAHIVI NA HALI YA NCHI IMEKUWA SHWARI AACHE UPUMBAVU WAKE HUYO MBOWE NI GAIDI
Upumbavu unao wewe na wale mnaowabambikia kesi za ugaidi hewa kupiga watu kinyume cha PGO yenu wenyewe, acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu huo upumbavu uonevu wenu una mwisho, walikuwepo akina Idd Amin, Elbashiri, Sadam Hussein, chiluba Abacha mabutu Bokasa leo hii wapo wapi? Hakuna mabaya yasiyo na mwisho
 
Machafuko thubutu!
Kamuulize Lissu aliyeitisha maandamano yasiyokoma,Kama alionekana siku hiyo.
Machafuko ya JF mtandaoni sawa.
Kwani Nchi zenye machafuko hawakuwa na Aman? Walikuwepo na utulivu kuliko Tanzania lakini walipokosa haki wakaleta machafuko endelea kuota ndoto za udikiteta ipo Siku mtajutia upumbavu wenu
 
Kwani Nchi zenye machafuko hawakuwa na Aman? Walikuwepo na utulivu kuliko Tanzania lakini walipokosa haki wakaleta machafuko endelea kuota ndoto za udikiteta ipo Siku mtajutia upumbavu wenu
Kuna wajinga hawajifunzi kwa nchi zingine.wanadhani hii nchi ndo makazi ya Mungu kwamba tutaendelea kua hivi hivi bila kujua nchi zote duniani zilikua sawa ila kinachobadilika ni mawazo na maamuzi ya wananchi.
 
Hawa wote wanakanyaga haki za watz kutokana na ubovu uliyomo kwenye katiba hii iliyopo. KATIBA mpya ndio dawa. Wakati wa katiba mpya ni sasa.
Uko sahihi.porojo na ujinga mwingi kwenye kila sehemu chanzo chake ni katiba iliyotoa mwanya kwa mtu mmoja kuamua kukalia mihimili mingine.Vyombo vyote vya haki,usalama na maamuzi mbalimbali wote viongozi wao wanapatikana kwajinsi gani unamnyenyekea yule wa jumba jeupe.kwahiyo bila katiba bora itakayorekebisha haya ya sasa yasiyoendana na nyakati hali bado itakua hii hii labda watu waamue njia tofauti.
 
Kwani Nchi zenye machafuko hawakuwa na Aman? Walikuwepo na utulivu kuliko Tanzania lakini walipokosa haki wakaleta machafuko endelea kuota ndoto za udikiteta ipo Siku mtajutia upumbavu wenu
Ncha ya mkuki haipigwi konzi.
 
Back
Top Bottom