Mtemi Hangaya ni mwema dikteta si hayupo?Hata Mugabe na Elbashir walitamba kama CCM ilivyo sasa, leta mrejesho wa kilichowatokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtemi Hangaya ni mwema dikteta si hayupo?Hata Mugabe na Elbashir walitamba kama CCM ilivyo sasa, leta mrejesho wa kilichowatokea.
na wameapa HAWAITOI kamwe!!
WAKATI wenyewe ni sasaUko sahihi.porojo na ujinga mwingi kwenye kila sehemu chanzo chake ni katiba iliyotoa mwanya kwa mtu mmoja kuamua kukalia mihimili mingine.Vyombo vyote vya haki,usalama na maamuzi mbalimbali wote viongozi wao wanapatikana kwajinsi gani unamnyenyekea yule wa jumba jeupe.kwahiyo bila katiba bora itakayorekebisha haya ya sasa yasiyoendana na nyakati hali bado itakua hii hii labda watu waamue njia tofauti.
Mtaishia kuamini hiyo huku Mbowe na kundi lake wakipiga notiMagufulegacy imekukolea
Danieli 6:4 - 5Mtaishia kuamini hiyo huku Mbowe na kundi lake wakipiga noti