CHADEMA wajue hawapo juu Kisheria

WAKATI wenyewe ni sasa
 
Mtaishia kuamini hiyo huku Mbowe na kundi lake wakipiga noti
Danieli 6:4 - 5
Basi mawaziri na maamiri wakatafuta sana kupata sababu za kumshitaki Danieli kwa habari za mambo ya ufalme; lakini hawakuweza kuona sababu wala kosa; kwa maana alikuwa mwaminifu, wala halikuonekana kosa wala hatia ndani yake.
Ndipo wale watu wakasema, Hatutapata sababu ya kumshitaki Danieli huyo, tusipoipata katika mambo ya sheria ya Mungu wake.
AMEN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…