johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwani unadhani wanamaanisha wanapompa hata huyo wa kiume?johnthebaptist ulisha wahi kumuona Chief mwanamke?
Naamini unajua maana ya Chifu na jibsi yake, au?johnthebaptist ulisha wahi kumuona Chief mwanamke?
Mwami Teresa Nkami....Hivi ni kabila gani waliwahi kuwa na Chifu mwanamama ?
Si kila usilosikia HALIPO....Sjawahi kusikia chif mwanamke haya nayo ni maigizo
Wewe wadharau machifu wa nchi hii.CCM ni mataahira kabisaaaaa
Alikuwa mrundi au Mnyarwanda?Mwami Teresa Nkami....
Kumbe historia ya Tanganyika inawapiga chenga, huko ikulu mnataka mkatufanyie nini ?!!!π²π²
Mwami Tereza Nkami...johnthebaptist ulisha wahi kumuona Chief mwanamke?
Kuna wakati ngozi ya chui huwa sandaWewe wadharau machifu wa nchi hii.....
CHIEF MKUU HANGAYA AMETAWAZWA....HANGAYA AMEVALISHWA NGOZI YA CHUI....kazi mnayo.
johnthebaptist ulisha wahi kumuona Chief mwanamke?
Kuna wakati.Kuna wakati ngozi ya chui huwa sanda
Unabishana na MACHIFU wa makabila zaidi ya 100?!!THANK YOU! ππΎ Huyo ni chifu FAKE kutaka kulazimisha mambo kinyume nΓ‘ taratibu za kimila za makabila mbali mbali nchini.
sasa mbona katangaza kwenye vikao vya siri kwamba hatogombea 2025 , hajiamini ?Kuna wakati,
CHIFU HANGAYA anang'ara kama nyota ya jaha.
Akishambuliwa chifu Hangaya imeshambuliwa MIZIMU YA TANGANYIKA.
Kazi mnayo.