CHADEMA wakati wenzenu wanaunga mkono juhudi mliwatukana kuwa wamenunuliwa. Je, leo hii nanyi mmetolewa kwa mkopo?

CHADEMA wakati wenzenu wanaunga mkono juhudi mliwatukana kuwa wamenunuliwa. Je, leo hii nanyi mmetolewa kwa mkopo?

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Hili liko wazi,

CHADEMA iko katika harakati za kumpitisha Mgombea wa CCM kiulaini mwaka 2025. Chadema nao wameamua kuunga mkono juhudi kwa staili nyingine , na hawataki kusikia la muadhini wala la mnadi swala.

Naam nimemsiki Sugu juzi, nilishamsikia Mbowe aliyetoka kuwekwa jela na Mtawala kisha akamtoa alipojisikia (Naam aliwekwa na mtawala, rejea interview ya Kikeke na Madam President), nimemsikia Lema, nimeshindwa tu kumuhukumu Tundu Lissu mpaka sasa.

Anyway mpaka sasa tunafahamu mmerudi chapchap na mmeanza kuimba mapambio ya kusifu, sababu mmeahidiwa kurejeshewa MAJIMBO YENU na kuongeza idadi Bungeni ili kimataifa Imake sense. Njaa imewashinda sasa mmekubali kuwa Puppets wa regime.

Njia pekee mliyoona ya kurudisha majimbo mliyoahidiwa ni kusifu na kulegeza kamba kutoshambulia Superpower, mradi tu HAI, ARUSHA, TARIM, n.k zirudi kwenu.

Yes mmejishusha na kutumika sababu mmeshaona "NGUVU HALISI YA CHAMA DOLA NA MIHIMILI YAKE IKIAMUA KUCHUKUA MAJIMBO NA MITAA YOTE NCHINI"

Kwa sasa siyo ACT tena, bali CHADEMA ndiyo CCM B .

Nitoe pongezi kwa chama tawala kwa Kucheza karata zake Kibobezi,
 
Mtahangaika sana na chadema, tutakosoa , tutasifia inapobidi kusifia na tutaponda panapotakiwa kuponda ... kwahiyo msitupangie Cha kufanya... uzuri tunajua tulikotoka na tunapajua tunakoelekea
 
CHADEMA ni Wahuni wa Kisiasa. As long as maslahi yao binafsi yanalindwa wapo tayari kushirikiana na uongozi uliopo madarakani. Kwa sasa gharama za maisha zipo juu huwasikii wakiongelea hili, nchi inakopa ovyo ovyo bila kuonekana pesa inayokopwa inafanya kazi gani hawalizungumzii hili, agenda yao kubwa imebaki kwenye kukashifu utawala wa Chuma JPM, kiufupi asali waliyolambishwa inawazuzua, tangu waruhusiwe kufanya mikutano ya kisiasa wamegeuka kuwa 'Ki CCM kidogo' hawana hoja za msingi za kufanya uwasikilize
 
Kwahiyo kwenye majimbo uliyotaja hazitapigwa kura na hatimae wabunge kupita bila kupingwa?
Ukipunguza chuki utaandika tukuelewe
 
Chadema, CCM, ACT, CUF Kitu cha kwanza wanafanya ni kufuta legasi chafu ya yule dudumizi kisha ndio siasa zingine ziendelee
 
Hujaorodhesha hao CDM wa sasa ambao wameenda CCM kuunga mkono juhudi! Waorodheshe ili tupige spana. Yaan watanzania ni watu wa hovyo sana yaan wanatamani kila cku waone siasa za vita! Hii issue ya maridhiano imewaumiza na kuwakera walinda legacy! Nyie waovu hamtakuja tena pata madaraka, mlifanya siasa ni uadui, mkawafanya CDM ni adui no 1 nchini!! Shubaamit!!!
 
Hujaorodhesha hao CDM wa sasa ambao wameenda CCM kuunga mkono juhudi! Waorodheshe ili tupige spana. Yaan watanzania ni watu wa hovyo sana yaan wanatamani kila cku waone siasa za vita! Hii issue ya maridhiano imewaumiza na kuwakera walinda legacy! Nyie waovu hamtakuja tena pata madaraka, mlifanya siasa ni uadui, mkawafanya CDM ni adui no 1 nchini!! Shubaamit!!!
Kwenye Siasa CCM hatuna urafiki mzee..Tunaangalia Chama kwanza, kama jambo au urafiki utatufanya tuendelee kutawala HAPO SAWA,

Kama jambo litahatarisha utawala wetu hilo hapana. Ndo maana hatutaki KATIBA MPYA NA TUME HURU. Huu ni ukweli mchungu bwana wewe
 
Kwenye Siasa CCM hatuna urafiki mzee..Tunaangalia Chama kwanza, kama jambo au urafiki utatufanya tuendelee kutawala HAPO SAWA,

Kama jambo litahatarisha utawala wetu hilo hapana. Ndo maana hatutaki KATIBA MPYA NA TUME HURU. Huu ni ukweli mchungu bwana wewe
Well hilo linajulikana ingawa sio la kudumu! But awamu iliyopita ilileta uadui mmbaya san kisa kutofautian itikadi.
 
Agenda kuu ya nchi kwa sasa ni utawala bora kwa maendeleo ya nchi.
Ccm, Chadema au chama kingine vina jukumu la kuhakikisha utawala bora.
Chadema wamesimamia agenda ya katiba bora towards utawala bora, haijalishi ni chama gani lakini nchi inahitaji utawala bora, so, tutamuunga mkono yeyote anayepigania utawala bora na sio kupigania vyama pekee.
 
Agenda kuu ya nchi kwa sasa ni utawala bora kwa maendeleo ya nchi.
Ccm, Chadema au chama kingine vina jukumu la kuhakikisha utawala bora.
Chadema wamesimamia agenda ya katiba bora towards utawala bora, haijalishi ni chama gani lakini nchi inahitaji utawala bora, so, tutamuunga mkono yeyote anayepigania utawala bora na sio kupigania vyama pekee.
Agenda ya Utawala bora nani amesema ndo ajenda ya nchi, imeasisiswa na nani?

Agenda za chadema sasa imeachana nazo?

Hiyo ni Hangover ya utawala wa Meko mzee, Ndo maana tumesema CCM ni Game changer mkubwa sana
 
Hili liko wazi,

CHADEMA iko katika harakati za kumpitisha Mgombea wa CCM kiulaini mwaka 2025. Chadema nao wameamua kuunga mkono juhudi kwa staili nyingine , na hawataki kusikia la muadhini wala la mnadi swala.

Naam nimemsiki Sugu juzi, nilishamsikia Mbowe aliyetoka kuwekwa jela na Mtawala kisha akamtoa alipojisikia(Naam aliwekwa na mtawala, rejea interview ya Kikeke na Madam President), nimemsikia Lema, nimeshindwa tu kumuhukumu Tundu Lissu mpaka sasa.

Anyway mpaka sasa tunafahamu mmerudi chapchap na mmeanza kuimba mapambio ya kusifu, sababu mmeahidiwa kurejeshewa MAJIMBO YENU na kuongeza idadi Bungeni ili kimataifa Imake sense. Njaa imewashinda sasa mmekubali kuwa Puppets wa regime.

Njia pekee mliyoona ya kurudisha majimbo mliyoahidiwa ni kusifu na kulegeza kamba kutoshambulia Superpower, mradi tu HAI, ARUSHA, TARIM, n.k zirudi kwenu.

Yes mmejishusha na kutumika sababu mmeshaona "NGUVU HALISI YA CHAMA DOLA NA MIHIMILI YAKE IKIAMUA KUCHUKUA MAJIMBO NA MITAA YOTE NCHINI"

Kwa sasa siyo ACT tena , bali CHADEMA ndiyo CCM B .

Nitoe pongezi kwa chama tawala kwa Kucheza karata zake Kibobezi,
Hivi, kukitokea kiongozi jambazi, akawaua baadhi ya wapendwa wako, waliosalia wakakimbia kujihifadhi ugenini, walionusurika akawatia jela na kuwapora mali zao, lakini wakati hayo yakitendeka, huyo kiongozi jambazi alikuwa na msaidizi wake aliyekuwa ametulia tu kimya akimtazama mkuu wake akifanya huo ushetani.

Kwa mapenzi ya mkono wenye nguvu wa Muumba, siku moja yule kiongozi mwovu akaondoshwa kwenye uso wa Dunia, naye msaidizi wake ndiye akawa mtawala. Naye huyu mtawala mpya, akawatoa wale ndugu zako wote ambao kiongozi jambazi aliwatia jela kwa uonevu, kisha akawarejesha waliotoroka kuuawa na yule mtawala jambazi, wewe kama manusura wa ule utawala wa jambazi shetani, utamwambia nini mtawala mpya aliyewaachia huru ndugu zako, na kuwaletea hakikisho la kuwa ule ushetani wa mtawala jambazi umekoma, hautarudiwa tena?

Rais Samia, hata awe na mapungufu kiasi gani, hakika atendelea kushukuriwa kwa kuuthamini utu na uhai wa binadamu. Ubora wa Rais Samia umechangiwa zaidi na ulinganisho na ule utawala wa kishetani uliomtangulia.

Mtu yeyote muuaji, ni mwovu mkuu, na ni xao la shetani.
 
Back
Top Bottom