CHADEMA wakubali kuwa wamekuwa wakikosea sana

CHADEMA wakubali kuwa wamekuwa wakikosea sana

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
279
Reaction score
480
Kuna mambo ya ajabu sana unaweza usiamini yaani leo ukikutana na kijana wa Chadema na kumwambia mama vipi maneno yatakayo mtoka mdomoni uwezi kuyaandika. Na ukimuuliza JPM vipi atakwambia kwa sauti ya chini afadhali ya JPM alikuwa vizuri. Ukiendelea kumsikiliza unaweza ukachanganyikiwa.

Mi nadhani sasa ifike wakati Chadema wakubali kuwa wamekuwa wakikosea sana kuliko kupatia waache siasa za mihemko watulie wasiwe vihele hele. Kwa sababu uwezo wa kuchukua hii nchi wanao isipokuwa utulivu ndiyo hawana kabisa, leo ni kama wameshonwa midomo maana tunashindwa kuwaamini, kwani leo wakisema hiki kesho kingine tena mtu huyo huyo mmoja.

Kwahari ilivyo sasa na jinsi mama alivyoweka pini inaweza ikawa Chadema wasitoe hata pasi moja uwanjani na mpaka dk 90 zinaisha hata katikati ya uwanja wasifike na bao 9 bila msiamini.
 
Na kwahari ulimaanisha Nini!! Unao uhuru wa kutoa mawazo yako basi jaribu kuandika vizuri.
 
Kuna mambo ya ajabu sana unaweza usiamini yaani leo ukikutana na kijana wa Chadema na kumwambia mama vipi maneno yatakayo mtoka mdomoni uwezi kuyaandika. Na ukimuuliza JPM vipi atakwambia kwa sauti ya chini afadhali ya JPM alikuwa vizuri...
Mtoto wa Nabii Tito naona unarusha tu madini uliyopewa na Baba yako Nabii Tito
 
Kuna mambo ya ajabu sana unaweza usiamini yaani leo ukikutana na kijana wa Chadema na kumwambia mama vipi maneno yatakayo mtoka mdomoni uwezi kuyaandika. Na ukimuuliza JPM vipi...
Wakati huo huo tozo zikiwakomesha Chadema peke yao sisi tunakula maisha tu
 
CHADEMA ifutwe tu kwa sababu haina manufaa yoyote hapa nchini. Chama kinachokuza na kulea magaidi siyo chama kizuri.
 
Kuna mambo ya ajabu sana unaweza usiamini yaani leo ukikutana na kijana wa Chadema na kumwambia mama vipi maneno yatakayo mtoka mdomoni uwezi kuyaandika...
Hivi akili ya Aina hii unazaliwa nayo au unapandikizwa na mazwazwa mitaani.
 
Kuna mambo ya ajabu sana unaweza usiamini yaani leo ukikutana na kijana wa Chadema na kumwambia mama vipi maneno yatakayo mtoka mdomoni uwezi kuyaandika. Na ukimuuliza JPM vipi atakwambia kwa sauti ya chini afadhali ya JPM alikuwa vizuri. Ukiendelea kumsikiliza unaweza ukachanganyikiwa...
Na hapo umeongea ukweli mtupu, ndivyo walivyo hao.... Kikwete alikuwa mbaya sana kwao, Magufuli hawataki hata kumsikia, Samia ndio wanaona anajifanya mtu wa Mungu ni wa jehanum... Ninashindwa sana kuwaelewa chadema.... Bora ACT
 
Back
Top Bottom