CHADEMA wakubali kuwa wamekuwa wakikosea sana

Uko ndotoni. Ukiamka utajua ulikuwa ndotoni. Amka kumekucha.
 
Kule tabora kuna kijiji kinaitwa IGURUBI,wa igurubi wewe
 
Hii ni simulizi, sasa unataka sisi tufanyeje?
 
Mbowe na SACCOS YAKE ndiyo adui wa taifa. Gaidi.
Lakini wewe ni mwonevu. Mbowe bado yuko mahakamani hajahukumiwa wewe ukampa hukumu yako nafikiri ni kwa sababu wewe ndo judge wa hiyo kesi. Lakini matukio ya kigaidi ni mengi ambayo hayashughulikiwa. MO kutekwa, viroba, b 8 hours, azura yote hayashughulikiwa. Labda kafanya mbowe labda akihukumiwa kesi hii ataanzishiwa hizo. Mbowe na SACCOS YAKE ndiyo wanaohujumu umeme na Maji, bwawa la umeme, ndo anayotaka kujenga bmoyo. Ndie mbowe huyo adui wa taifa eee. Wewe unawajua magaidi na maadui wa taifa hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ