Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,925
- Thread starter
- #21
CCM hawawezi kukubali wananchi wenyewe wasimamie raslimali zao. Wanataka mapato yote yaendelee kupelekwa Dar es salaam ili yawanufaishe wao na familia zao. Wanatoa visingizio kwamba: "Suala hilo litatugawa". Ajabu na kweli! Wananchi kusimamia raslimali ni marufuku kwa kuwa watagawanyika!!! Sijui iwapo watanzania wana mang'amuzi ya kutosha kwa jambo hili.
Mbaya zaidi kwa CCM ni rasimu ya katiba mpya msajiri wa vyama vya siasa amepata automatic knock out.