Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,553
- 2,380
Hivi kati ya maoni haya ya rasimu yepi yalikuwa maoni ya CCM? nahitaji kujua hilo! Maana naona maoni karibia yote ni mwiba kwa CCM!
Ni huu ushabiki wa kisengerema ndio uliotaka kuharibu zoezi hapo awali, tutenganishe kabisa siasa na uandishi wa katiba maana tutaharibu zoezi hili. Kwa taarifa yako muongozo wa kutoa maoni ya katiba kwa wana ccm ni kama umepigwa photocopy tu kwenye hii rasimu.