Watasema unalipwa buku 7.
Ndiyo atawatambua watanzania!! Hizo pesa atakazopewa na hao mabeberu azitunze zimsaidie baada ya uchaguzi lasivyo ataanza tena ombaomba.
Itoshe kusema kua chadema Inatosha hamuwezi kushindana na ccm mwaka huu
Leo chadema mtakua mmeona msimamo wa Watanzania juu yenu ningependa kuwashauri tu hela ambazo mnataka kuzituma kwenye kampen ni bora mkazitumia kwenye mambo mengine kabla hajaingia hasara ya bila sababu
Kusema kwel Leo Tundulisu atakua amelala na jibu la jinsi matokeo ya uchaguz yatakavyo kua
Kwa ukubwa wa chama kama chadema iliopo Mitandao na ukubwa wa eneo ambalo wameenda kuzindulia kampen na watu walio jitokeza hata Umoja wa mataifa Leo utakubaliana na watanzania wengi kua Magufuli anaenda kuongoza miaka mitano Tena
Pia ningependa kuuliza wale ndugu zangu wa umu vip Yale mafuriko ya Dar mlio kua mnayaongelea au siku bado
Kusema kwel hata mchezaji wa yanga kakusanya watu kushinda hata Tundulisu ivi mh Tundulisu ni mgombea Udiwan au Ubunge????
Yani nyomi la Morison linaishinda nyomi la Leo la Tundulisu
Chadema polen Sana kampeni za mwaka huu huenda zikawamaliza vibaya
Dah ndiomana wamewafukuza Tbc mana Leo ilikua Aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1550966
Yaani Tanzania Mwaka huu ndo tutajua WAHUTU ni watu wa HULKA zipi yaaniHali ni Tete
Hawa kupata 20% watakuwa wameshindaView attachment 1550973
Kule zanzibar Act mmewaachia majimbo 8 kati ya 50.ccm mnapenda ushindi was mezani hatariHahaha Hivi Unaamini Nchi hii kuna Upinzani kweli
Bado sana
Hao wanajifurahisha na kucheza na Akili za Wapuuzi tu
Narudia Lisu kupata 20% Atakuwa kashinda
Wasubiri waone Chama Dume hapo kesho Dodoma!
Itoshe kusema kua chadema Inatosha hamuwezi kushindana na ccm mwaka huu
Leo chadema mtakua mmeona msimamo wa Watanzania juu yenu ningependa kuwashauri tu hela ambazo mnataka kuzituma kwenye kampen ni bora mkazitumia kwenye mambo mengine kabla hajaingia hasara ya bila sababu
Kusema kwel Leo Tundulisu atakua amelala na jibu la jinsi matokeo ya uchaguz yatakavyo kua
Kwa ukubwa wa chama kama chadema iliopo Mitandao na ukubwa wa eneo ambalo wameenda kuzindulia kampen na watu walio jitokeza hata Umoja wa mataifa Leo utakubaliana na watanzania wengi kua Magufuli anaenda kuongoza miaka mitano Tena
Pia ningependa kuuliza wale ndugu zangu wa umu vip Yale mafuriko ya Dar mlio kua mnayaongelea au siku bado
Kusema kwel hata mchezaji wa yanga kakusanya watu kushinda hata Tundulisu ivi mh Tundulisu ni mgombea Udiwan au Ubunge????
Yani nyomi la Morison linaishinda nyomi la Leo la Tundulisu
Chadema polen Sana kampeni za mwaka huu huenda zikawamaliza vibaya
Dah ndiomana wamewafukuza Tbc mana Leo ilikua Aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1550966
Uliyompiga risasi ni mabeberu au WAHUTU wa Tanzania?Ndiyo atawatambua watanzania!! Hizo pesa atakazopewa na hao mabeberu azitunze zimsaidie baada ya uchaguzi lasivyo ataanza tena ombaomba.
NahiiEditing!
π π π πWatasema unalipwa buku 7.
Hiyo picha mmepiga haraka haraka kabla watu hawajafika mkutanoni mje kujidanganya hapa.
Mkitaka kujua mlivyo wajinga tazama nyuma ya hiyo picha watu wanaonekana ndio wanafika kwenye mkutano, kwanini msipige picha wakati Chadema wameanza kuhutubia? mnajua mtaumbuka na ujinga wenu, acheni utoto.
Chadema ni level nyingine ndio maana mnahangaika kuwaengua wagombea wake kwa sababu za kijinga.
Safari hii tunampiga kwa kura tu! Tukutane 28/10/2020!Uliyompiga risasi ni mabeberu au WAHUTU wa Tanzania?
Alisikika Mlevi mmoja na Fuata mkumbe akisemaYaani Tanzania Mwaka huu ndo tutajua WAHUTU ni watu wa HULKA zipi yaani
Mwaka huu Viongozi wanachaguliwa kwa Utashi wa KUJAZA FOMU na sio SANDUKU LA KURA.
Ujinga tu.
Kawaulize AridhioKwan tbc Na watu vinauhusiano Gan au kamera za tbc zinafuta watu [emoji1787][emoji1787]
Kumbe ajira zipo tele ee..Siku ya kazi hiyo
Are you insane?Kwani yeye analipwa zaidi mkuu?
kama Chadema hawana supporters, why sasa wakubwa zako huko MATAGA wanaogopa sana kushindana nao kwenye sanduku la kura?
Itoshe kusema kua chadema Inatosha hamuwezi kushindana na ccm mwaka huu
Leo chadema mtakua mmeona msimamo wa Watanzania juu yenu ningependa kuwashauri tu hela ambazo mnataka kuzituma kwenye kampen ni bora mkazitumia kwenye mambo mengine kabla hajaingia hasara ya bila sababu
Kusema kwel Leo Tundulisu atakua amelala na jibu la jinsi matokeo ya uchaguz yatakavyo kua
Kwa ukubwa wa chama kama chadema iliopo Mitandao na ukubwa wa eneo ambalo wameenda kuzindulia kampen na watu walio jitokeza hata Umoja wa mataifa Leo utakubaliana na watanzania wengi kua Magufuli anaenda kuongoza miaka mitano Tena
Pia ningependa kuuliza wale ndugu zangu wa umu vip Yale mafuriko ya Dar mlio kua mnayaongelea au siku bado
Kusema kwel hata mchezaji wa yanga kakusanya watu kushinda hata Tundulisu ivi mh Tundulisu ni mgombea Udiwan au Ubunge????
Yani nyomi la Morison linaishinda nyomi la Leo la Tundulisu
Chadema polen Sana kampeni za mwaka huu huenda zikawamaliza vibaya
Dah ndiomana wamewafukuza Tbc mana Leo ilikua Aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1550966