Uchaguzi 2020 CHADEMA walijiandaa na uchaguzi wa mwaka huu 2020?

Uchaguzi 2020 CHADEMA walijiandaa na uchaguzi wa mwaka huu 2020?



Itoshe kusema kua chadema Inatosha hamuwezi kushindana na ccm mwaka huu

Leo chadema mtakua mmeona msimamo wa Watanzania juu yenu ningependa kuwashauri tu hela ambazo mnataka kuzituma kwenye kampen ni bora mkazitumia kwenye mambo mengine kabla hajaingia hasara ya bila sababu

Kusema kwel Leo Tundulisu atakua amelala na jibu la jinsi matokeo ya uchaguz yatakavyo kua

Kwa ukubwa wa chama kama chadema iliopo Mitandao na ukubwa wa eneo ambalo wameenda kuzindulia kampen na watu walio jitokeza hata Umoja wa mataifa Leo utakubaliana na watanzania wengi kua Magufuli anaenda kuongoza miaka mitano Tena



Pia ningependa kuuliza wale ndugu zangu wa umu vip Yale mafuriko ya Dar mlio kua mnayaongelea au siku bado

Kusema kwel hata mchezaji wa yanga kakusanya watu kushinda hata Tundulisu ivi mh Tundulisu ni mgombea Udiwan au Ubunge????

Yani nyomi la Morison linaishinda nyomi la Leo la Tundulisu

Chadema polen Sana kampeni za mwaka huu huenda zikawamaliza vibaya

Dah ndiomana wamewafukuza Tbc mana Leo ilikua Aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1550966

Ndiyo atawatambua watanzania!! Hizo pesa atakazopewa na hao mabeberu azitunze zimsaidie baada ya uchaguzi lasivyo ataanza tena ombaomba.
 
Hakuna mgonjwa mpuuzi ambae anaweza kubali kumwachia mwili wake daktari mwanafunzi amfanyie operation ya moyo wakati Dr bingwa yupo
 
Hahaha Hivi Unaamini Nchi hii kuna Upinzani kweli
Bado sana
Hao wanajifurahisha na kucheza na Akili za Wapuuzi tu
Narudia Lisu kupata 20% Atakuwa kashinda
Kule zanzibar Act mmewaachia majimbo 8 kati ya 50.ccm mnapenda ushindi was mezani hatari
 


Itoshe kusema kua chadema Inatosha hamuwezi kushindana na ccm mwaka huu

Leo chadema mtakua mmeona msimamo wa Watanzania juu yenu ningependa kuwashauri tu hela ambazo mnataka kuzituma kwenye kampen ni bora mkazitumia kwenye mambo mengine kabla hajaingia hasara ya bila sababu

Kusema kwel Leo Tundulisu atakua amelala na jibu la jinsi matokeo ya uchaguz yatakavyo kua

Kwa ukubwa wa chama kama chadema iliopo Mitandao na ukubwa wa eneo ambalo wameenda kuzindulia kampen na watu walio jitokeza hata Umoja wa mataifa Leo utakubaliana na watanzania wengi kua Magufuli anaenda kuongoza miaka mitano Tena



Pia ningependa kuuliza wale ndugu zangu wa umu vip Yale mafuriko ya Dar mlio kua mnayaongelea au siku bado

Kusema kwel hata mchezaji wa yanga kakusanya watu kushinda hata Tundulisu ivi mh Tundulisu ni mgombea Udiwan au Ubunge????

Yani nyomi la Morison linaishinda nyomi la Leo la Tundulisu

Chadema polen Sana kampeni za mwaka huu huenda zikawamaliza vibaya

Dah ndiomana wamewafukuza Tbc mana Leo ilikua Aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1550966

Wasubiri waone Chama Dume hapo kesho Dodoma!
 
Ndiyo atawatambua watanzania!! Hizo pesa atakazopewa na hao mabeberu azitunze zimsaidie baada ya uchaguzi lasivyo ataanza tena ombaomba.
Uliyompiga risasi ni mabeberu au WAHUTU wa Tanzania?
 
Nahii
JamiiForums-1829702823.jpg
 
Hiyo picha mmepiga haraka haraka kabla watu hawajafika mkutanoni mje kujidanganya hapa.

Mkitaka kujua mlivyo wajinga tazama nyuma ya hiyo picha watu wanaonekana ndio wanafika kwenye mkutano, kwanini msipige picha wakati Chadema wameanza kuhutubia? mnajua mtaumbuka na ujinga wenu, acheni utoto.

Chadema ni level nyingine ndio maana mnahangaika kuwaengua wagombea wake kwa sababu za kijinga.

weka sasa hiyo picha yako mkuu ili na sisi wa huku namtumbo tupime
 
Yaani Tanzania Mwaka huu ndo tutajua WAHUTU ni watu wa HULKA zipi yaani

Mwaka huu Viongozi wanachaguliwa kwa Utashi wa KUJAZA FOMU na sio SANDUKU LA KURA.

Ujinga tu.
Alisikika Mlevi mmoja na Fuata mkumbe akisema
 
lowassa alikuwa na nyota basi!!!.. afu wala alikuwa hazungumzi sana, alim selama ..kamaliza, lakini hilo nyomi!!
 


Itoshe kusema kua chadema Inatosha hamuwezi kushindana na ccm mwaka huu

Leo chadema mtakua mmeona msimamo wa Watanzania juu yenu ningependa kuwashauri tu hela ambazo mnataka kuzituma kwenye kampen ni bora mkazitumia kwenye mambo mengine kabla hajaingia hasara ya bila sababu

Kusema kwel Leo Tundulisu atakua amelala na jibu la jinsi matokeo ya uchaguz yatakavyo kua

Kwa ukubwa wa chama kama chadema iliopo Mitandao na ukubwa wa eneo ambalo wameenda kuzindulia kampen na watu walio jitokeza hata Umoja wa mataifa Leo utakubaliana na watanzania wengi kua Magufuli anaenda kuongoza miaka mitano Tena



Pia ningependa kuuliza wale ndugu zangu wa umu vip Yale mafuriko ya Dar mlio kua mnayaongelea au siku bado

Kusema kwel hata mchezaji wa yanga kakusanya watu kushinda hata Tundulisu ivi mh Tundulisu ni mgombea Udiwan au Ubunge????

Yani nyomi la Morison linaishinda nyomi la Leo la Tundulisu

Chadema polen Sana kampeni za mwaka huu huenda zikawamaliza vibaya

Dah ndiomana wamewafukuza Tbc mana Leo ilikua Aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1550966

kama Chadema hawana supporters, why sasa wakubwa zako huko MATAGA wanaogopa sana kushindana nao kwenye sanduku la kura?
 
Back
Top Bottom