Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Sas
Sasa chadema kawaaambie wampitishee huyu lisu kuwa mgombe? Hivi ukimwangalia lisu unamuona katulia? Huyu alitakiwa atengamae kwanzaaa kwani shambulio alifanyiwaa hata angekuwa nani asingewezaa kukaa sawa.
Chadema walipaswa wamuache apumzike vyakutoshaa, maaana ukimwangalia lisu anaonekana kama mtu mwenye hasira saanaa. Kwamaana hiyo kampeni haweziii.
Lawama ziwaendee uongozi wa chama.
Maana hatoweza pambana na moto wa Magufuli.
Itoshe kusema kua chadema Inatosha hamuwezi kushindana na ccm mwaka huu
Leo chadema mtakua mmeona msimamo wa Watanzania juu yenu ningependa kuwashauri tu hela ambazo mnataka kuzituma kwenye kampen ni bora mkazitumia kwenye mambo mengine kabla hajaingia hasara ya bila sababu...
Sasa chadema kawaaambie wampitishee huyu lisu kuwa mgombe? Hivi ukimwangalia lisu unamuona katulia? Huyu alitakiwa atengamae kwanzaaa kwani shambulio alifanyiwaa hata angekuwa nani asingewezaa kukaa sawa.
Chadema walipaswa wamuache apumzike vyakutoshaa, maaana ukimwangalia lisu anaonekana kama mtu mwenye hasira saanaa. Kwamaana hiyo kampeni haweziii.
Lawama ziwaendee uongozi wa chama.
Maana hatoweza pambana na moto wa Magufuli.