kukumweupe
JF-Expert Member
- Apr 18, 2020
- 439
- 599
Nyie mnayo hiyo demokrasiaWafanye tu.Ni haki yao.Wewe unaogopa nini.Demokrasia hiyo kila mtu anayo.Sio lazima kuonja kila kichungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mnayo hiyo demokrasiaWafanye tu.Ni haki yao.Wewe unaogopa nini.Demokrasia hiyo kila mtu anayo.Sio lazima kuonja kila kichungu.
Andika yanayao elewekaUmeona uandike hivi ili kumjuvya Ndugai atayarishe adhabu ya kuwanyima viinua mgongo wabunge wa Chadema, lakini Chadema hawalishizwi maneno wakiamua kutoka watatoka tu, kwanini ulazimishe watu wote wasikilize maneno ya kufunga bunge, vijembe, kebehi, mipasho nk bora kutoka nje tu
Huo ni woga sana mangiKusimama na kuondoka nayo ni taswira ya kukomaa kwa demokrasia, walisusia wakati linafunguliwa kwa kutomtambua rais, wameji COVI 19 kwa siku 14. Itakuwa heshima kwao wakisusa bora 5u wasivunje viti.
Wasije kushughulikiwa wakiwa nje kwa uharibifu wa mali
Hoi hoi kabisaHa ha ha
Basi Rais akiingia wafunge mageti na milango ya Bunge ili wasitoke.
Ili wakipiga kelele Dunia nzima ione jinsi hali zao zilivyo humo Bungeni. Wakigoma kukaa wapigwe tu...eeh maana tumechoka sasa.. . (in former PMs voice)
(just utani)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu leo mmejiandaa kutokaMkuu taifa linapewa taswira mbaya, kwani lina taswira nzuri? Chama chochote kinaingia bungeni kwa kura za wananchi, au siku hizi kuna genge linatoa nafasi? Hao cdm watakuwa wamefanya jambo la maana iwapo watatoka, maana kama ni tatizo lipo kweli kwanini kulificha?
Wasiharibu sikuKwani cha ajabu nini. Ni haki yao kikatiba sema mijitu iliyozoea kuvunja sheria na katiba ndo itakayoshangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia utaonaJapo taarifa yako ni kama umbea, binafsi sioni sababu Chadema kukaa bungeni, yote mliyowafanyia kuanzia kesi zisizokuwa na maana, Ndugai kuropoka pumba kila siku hawatarudi bungeni, meko kudai aachiwe huku nje apambane nao then Lissu akapigwa risasi, kumhusisha Mbowe na tuhuma za uongo wa kila aina, kumharibia mali zake bila sababu tena bila kufuata sheria( uvunjwaji billicanas), hivi kweli kuna haja gani kukaa na watu wa aina hiyo uwasikilize?...
Mkuu leo mmejiandaa kutoka
Maana nondo za jpm leo mtakimbia
Kumsikiliza yesu wa Chato...ni kumdharau Mungu....wako sahihi..Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app