Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakae tuu ndani, na akianza za kuleta nao wafanye kama chama kile cha Malema kule South walivyokuwa wanamzomea Zuma.Bora tu wasishiriki maana huenda Bunge likageuzwa jukwaa/uwanja wa kampeni.
Humo huenda watakuwa wamepanga kushangilia na kugonga meza na vijembe kwa wapinzani .
IPI inauza? Ya kumtwanga sumu Mangula kwa kusema Membe hastahili kufukuzwa?Stresses za mmeo usizilete humu singeli ya lisu ilishachacha haiuzi tena
Mzee wetu Mangula alikuwa kwenye kikao Cha kuwajadili akina kinanaa, makambaa na membee. Sasa huoni hapo ni chamani?Sasa kuwa na sumu ndio kupewa na ccm. Wewe ni mjinga wapi walisema wamepewa na ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafanye tu.Ni haki yao.Wewe unaogopa nini.Demokrasia hiyo kila mtu anayo.Sio lazima kuonja kila kichungu.Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
😥😥😥😥👣👣👣👣😥😥😥
ndio, na ananizarau kwa sababu ni mtanzania
nashina kwenye mataputapu cos i know the story, i just refuse to live on assumption as you doSasa unashinda kwenye mataputapu nani akuheshimu
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, uliishuhudia hiyo sinema ya Spika kumpokea mwanachama mpya wa CCM ndani ya bunge?Lijualikali ameakamata sana
Tumia maneno mazuri kwa mkuu wa nchiKwani meko/ jiwe anasemaje katika hili[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Sent using Jamii Forums mobile app
Zomeeni muone kipondoWakae tuu ndani, na akianza za kuleta nao wafanye kama chama kile cha Malema kule South walivyokuwa wanamzomea Zuma.
Lazima hotuba yake ikumbane na rabsha hadi kieleweke
Membe hastahili ndio hafaiIPI inauza? Ya kumtwanga sumu Mangula kwa kusema Membe hastahili kufukuzwa?
Nyie watu hatari kweli, mnakulana wenyewe kwa wenyewe! Hata fisi hana tabia hizo