Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Status
Not open for further replies.
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.

Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,

My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nani akasikilize pumba za Rais Magufuli?
 
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.

Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,

My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Waache waende zao,sisi tunawabunge wengi wanatisha kumpigia mayowe na makofi rais wetu.
 
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.

Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,

My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza ondoa neno kuwaita waheshimiwa..chadema ni kundi la kihuni tu kama yale magenge ya wa Mexico
 
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.

Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,

My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kususia hotuba ya JPM tu bali naamini kwa asilimia 75 kuwa hata uchaguzi mkuu watasusia. Watakachofanya ni kushawishi vyama vingine navyo visusie. Najua ACT Wazalendo hawatakubali kujitoa Zbar sijui itakuwaje
 
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.

Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,

My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Ubabe wa CCM ndiyo unasababisha yote haya. CCM bado wako kwenye fikra za chama kimeshika Utamu..... Bado wako kwenye siasa za ujamaa.
 
Japokua chama tawala nacho kimefanya rafu nyingi sana,lakini pia upinzani nao umezingua pakubwa
 
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.

Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,

My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora tu wasishiriki maana huenda Bunge likageuzwa jukwaa/uwanja wa kampeni.

Humo huenda watakuwa wamepanga kushangilia na kugonga meza na vijembe kwa wapinzani .
Mkuu taifa linapewa taswira mbaya, kwani lina taswira nzuri? Chama chochote kinaingia bungeni kwa kura za wananchi, au siku hizi kuna genge linatoa nafasi? Hao cdm watakuwa wamefanya jambo la maana iwapo watatoka, maana kama ni tatizo lipo kweli kwanini kulificha?
Kama ni kweli kuna mpango wa kususia, KUB awashawishi Wabunge wote wa upinzani wajipange nje ya geti kumzuia Rais asingie ndani ya Bunge, ili Jamii ya Kimataifa ijue kuwa kuna mgogoro wa kisiasa Tanzania. Hakika wakifanya hivyo njia ya kuingia Ikulu itakuwa nyeupeeee!
 
Kama ni kweli kuna mpango wa kususia, KUB awashawishi Wabunge wote wa upinzani wajipange nje ya geti kumzuia Rais asingie ndani ya Bunge, ili Jamii ya Kimataifa ijue kuwa kuna mgogoro wa kisiasa Tanzania. Hakika wakifanya hivyo njia ya kuingia Ikulu itakuwa nyeupeeee!
Unataka watu wapigwe kama kule segerea
 
Hatuna upinzania bongo
wamezingua sana dr slaa kaondoka na upinzani wote yeye pekee ndo anajua kujenga hoja mi hadi leo hua namsikiliza akiwa anahojiwa na vyombo vya habari hapa nchini hakika yule mzee ni kichwa sana
 
wamezingua sana dr slaa kaondoka na upinzani wote yeye pekee ndo anajua kujenga hoja mi hadi leo hua namsikiliza akiwa anahojiwa na vyombo vya habari hapa nchini hakika yule mzee ni kichwa sana
Slaa mlimfukuza kwa kejeri zenu mpo kama hampo
 
Wajaribu waone. Watajikuta ni Mbowe na wafuasi wake royal wasiozidi watatu ndiyo watakaotii hiyo amri ya dikteta Mbowe! Na baada ya hapo Mbowe na hao wafuasi wake watatu watatimuliwa kwenye chama cha chadema na wenye chama hicho kwenye mkutano mkuu wao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom