Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mlitaka kumuua mzee wetu Mangula kwa sum?Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nao hao....ndiyo maana nipo mbioniSisi hatujawahi kuwa kwenye record mbaya wala kufikiliwa ukiachilia kelele za ufipani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hairuhusiwi kwenda kuji saidia? Unakaa huko mpaka hotuba inakwishaHa ha ha
Basi Rais akiingia wafunge mageti na milango ya Bunge ili wasitoke.
Ili wakipiga kelele Dunia nzima ione jinsi hali zao zilivyo humo Bungeni. Wakigoma kukaa wapigwe tu...eeh maana tumechoka sasa.. . (in former PMs voice)
(just utani)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hayo ni mambo ya kawaida tuBora tu wasishiriki maana huenda Bunge likageuzwa jukwaa/uwanja wa kampeni.
Humo huenda watakuwa wamepanga kushangilia na kugonga meza na vijembe kwa wapinzani .
Mbowe angekuwa ni mbabe basi asingechaguliwa tena kwa ushindi wa TSUNAMI. Usipende kuokota okota maneno ya vijiweni kuhusu Mbowe au Chadema na kudhani ni ukweli.
VIDEO: Alichokisema Mbowe baada ya kuchaguliwa uenyekiti Chadema
CCM ndio watawala wa nchi hii na kweli wamejitahidiMie na WAHUNI na MAFISI wapi na wapi!
Usajiri ndiyo upuuzi gani?
Kwanini mlitaka kumuua mzee wetu Mangula kwa sum?
Dah. So wabunge wote wa chadema watakaa vyooni muda wote hahahKwani hairuhusiwi kwenda kuji saidia? Unakaa huko mpaka hotuba inakwisha
Ukitoka nje ya Tanzania uatajua unazarauliwa hadi na mbuzi
Mbowe anadaiwa kuwanyamanzisha wapinzani wake humo ndani tena kwa kuwapoteza .chacha Wagwe na zitto
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe hili ndio anguko lake ametesa sana watuMbowe angekuwa ni mbabe basi asingechaguliwa tena kwa ushindi wa TSUNAMI. Usipende kuokota okota maneno ya vijiweni kuhusu Mbowe au Chadema na kudhani ni ukweli.
https://www.mwananchi.co.tz/habari/...ti-Chadema-/1597296-5391354-wve3vk/index.html
Wahuni tuko nao kila sehemu ila kukimbia bungeni itakuwa utotoMie na WAHUNI na MAFISI wapi na wapi!
Usajiri ndiyo upuuzi gani?
Ukitoka nje ya Tanzania uatajua unazarauliwa hadi na mbuzi
Kwanini mlitaka kumuondolea uhai?