USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
- Thread starter
- #81
Mwenyekiti gani?Kama ikitokea hivyo mwenyekiti atajisikia vibaya Sana na aibu kama zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti gani?Kama ikitokea hivyo mwenyekiti atajisikia vibaya Sana na aibu kama zote
awamu iliyopita amkusema mtampeleka kikwete the hague ?
muwe mnakumbuka na matusi yenu nyumbu wa ufipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa jinsi unavyoeleza hisia zako nimegundua haya:
a.Hukupata uelewa wa namna mbali mbali za kupinga/kueleza hisia zako juu ya jambo usiloliafiki(protest).
b.Huna uelewa na utambuzi wa haki za raia,wawakilishi na mipaka ya mamlaka mbali mbali.
c.Ushabiki umekupofusha.
d.Una vinasaba vya udikteta.
e.Ni mhafidhina.
Njia pekee ya Kuuokoa Upinzani nchini Tanzania ni kwa Wao Kuungana na kuwa na Agenda ya Msingi, ila kwa walivyo sasa CCM itatawala Milele.
alafu usipende kuipaka matope tanzania bwashee .
kwa east africa akuna nchi yenyekuheshimika kidiplomasia kama tanzania.tanzania ndo kituo cha kupatanisha migogoro yote ya nchi za maziwa makuu.
hao mabeberu wenyewe mnao waomba poo wanaipa salute tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana.Sisi hatujawahi kuwa kwenye record mbaya wala kufikiliwa ukiachilia kelele za ufipani
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi kwanza shule ujifunze kuandika kwa usahihi, ukifanikiwa hilo ndio uje ujadili na mimi. Huna viwango vyangu dogo.
Tatizo lako husomi Katiba unakurupuka....!
Bora wasishiriki tu, sitaki kuongea maneno makali huyo mwenye roho mbaya ya korosho akili yake anaijua mwenyewe.
CCM ipo sana waulize wabunge wakoNi Mtabiri gani Mkubwa na Maarufu hapa Ulimwenguni alikuthibitishia kuwa hadi Kiama kikifika basi CCM itakuwa inatawala tu Tanzania yetu hii?
Unachosema kinatoka moyoni mwako na dhati kuwa "Mbowe" ni dikteta (kwa mujibu wako na ccm) kulinganisha na anayedai "hajaribiwi,angewapoteza robo/nusu ya walioshangilia mtia nia mwenzie,aliyetoa agizo wabunge wafukuzwe ili awashughulikie wakiwa nje?
tulia kwanza dogo.mbona wenge sanaWewe una faida gani kwa nchi? Tuanzie hapo kwanza!
Neno dogo umelisikia leo? Kama una umri zaidi ya 50 we mdogo wangu.Chini ya hapo pole kwa malezi mabovu.
sasa na wewe ndo umeandika nini ?Rudi kwanza shule ujifunze kuandika kwa usahihi, ukifanikiwa hilo ndio uje ujadili na mimi. Huna viwango vyangu dogo.