Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Status
Not open for further replies.
Kwa mtu anaye jua maana ya UPINZANI wala hawezi kushangaa maana kutoka nje ya UKUMBI WA BUNGE au "WALKOUT" ni takwa la Kikatiba.
WALKOUT inatumika katika Mabunge karibu yote duniani kama kielelezo ya KUPINGA UTAWALA ULIO MADARAKANI kama ISHARA YA KUPINGA UONEVU,MANYANYASO, UKANDAMIZAJI na UMINYWAJI WA DEMOKRASIA ..!
CHADEMA kama Chama Kikuu Cha Upinzani Bungeni kimepitia MADHILA mengi sana tokea 2016 todate! Hivo wana Haki ya kutoka nje unless JPM atoe tamko rasmi la kuwaomba msamaha Wapinzani.Vinginevo....[emoji23]
Bongo hakuna upinzania ni Koti tuu lile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio ni jia moja ya democrasia . Kugomea , kutoka bungeni nk
Wakitoka ni jambo jema sana wamsusie tu
Spika ame wazuia mara kadha hotuba za wapinzani zisisomwe.
Hivo nao hawana haja kumsikiliza


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Hio ni jia moja ya democrasia . Kugomea , kutoka bungeni nk
Wakitoka ni jambo jema sana wamsusie tu
Spika ame wazuia mara kadha hotuba za wapinzani zisisomwe.
Hivo nao hawana haja kumsikiliza


Sent from my iPad using JamiiForums
Hapana kususasusa ni tabia ya kitoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mbowe anainguaje wakati hajarudisha pesa ya wakati amejilock?
 
Nchi yeyote ile yenye mfumo wa vyama vingi ni lazima iwe na Tume huru vinginevyo ni ulaghai wa hali ya juu kudai ni Nchi yenye mfumo wa vyama vingi wakati wajumbe wa tume wanaoteuliwa na mtu wa chama kilichokuwa madarakani na kisha kuwapa vitisho wajumbe husika.

Mkishinda mnasema tume huru mkishindwa mnasema sio huru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi yeyote ile yenye mfumo wa vyama vingi ni lazima iwe na Tume huru vinginevyo ni ulaghai wa hali ya juu kudai ni Nchi yenye mfumo wa vyama vingi wakati wajumbe wa tume wanaoteuliwa na mtu wa chama kilichokuwa madarakani na kisha kuwapa vitisho wajumbe husika.
Kwa mfano nchi gani labda kama haina wachumia tumbo kama afrika ,amerika kusini na Asia huko wamejaa vilaza kama kina mbowe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.

Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,

My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania



USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

Unafikiri kitoto kwa mambo ya kikubwa. Nenda kakojoe ulale.
 
Kipi kipya? Si walifanya slivyohutubia bunge kwa mara ya kwanza?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom