Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Sina hofu yoyote maana najiamini kwenye upande wa hoja, huyo kilaza nimemtaka arudi shule kwanza, akihitimu ndio aje kuongea na wanaume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo hakuna upinzania ni Koti tuu lileKwa mtu anaye jua maana ya UPINZANI wala hawezi kushangaa maana kutoka nje ya UKUMBI WA BUNGE au "WALKOUT" ni takwa la Kikatiba.
WALKOUT inatumika katika Mabunge karibu yote duniani kama kielelezo ya KUPINGA UTAWALA ULIO MADARAKANI kama ISHARA YA KUPINGA UONEVU,MANYANYASO, UKANDAMIZAJI na UMINYWAJI WA DEMOKRASIA ..!
CHADEMA kama Chama Kikuu Cha Upinzani Bungeni kimepitia MADHILA mengi sana tokea 2016 todate! Hivo wana Haki ya kutoka nje unless JPM atoe tamko rasmi la kuwaomba msamaha Wapinzani.Vinginevo....[emoji23]
Ndio nasema sisi wanachadema tumepotea njia ccm wametuzidi kila kituNjia pekee ya Kuuokoa Upinzani nchini Tanzania ni kwa Wao Kuungana na kuwa na Agenda ya Msingi, ila kwa walivyo sasa CCM itatawala Milele.
Chadema tukubali tumekamatwa kwani shida ipo wapiWe jamaa mbuzi kweli wew yaani kichwani mwako hazimo yamejaa mavi tu.
Hiyo buku 7 unayolipwa ina ukomo wake mwaka huu. Shituka mapema tafuta kazi nyingine
Mkishinda mnasema tume huru mkishindwa mnasema sio huruUmekamatwa kivipi na yule anayetegemea kushinda kwa wizi, vitisho na ulaghai!?
Waruhusu Uchaguzi huru na wa haki waone kindumbwe ndumbwe kila kona nchini.
Hapana kususasusa ni tabia ya kitotoHio ni jia moja ya democrasia . Kugomea , kutoka bungeni nk
Wakitoka ni jambo jema sana wamsusie tu
Spika ame wazuia mara kadha hotuba za wapinzani zisisomwe.
Hivo nao hawana haja kumsikiliza
Sent from my iPad using JamiiForums
Kwa mfano nchi gani labda kama haina wachumia tumbo kama afrika ,amerika kusini na Asia huko wamejaa vilaza kama kina mboweNchi yeyote ile yenye mfumo wa vyama vingi ni lazima iwe na Tume huru vinginevyo ni ulaghai wa hali ya juu kudai ni Nchi yenye mfumo wa vyama vingi wakati wajumbe wa tume wanaoteuliwa na mtu wa chama kilichokuwa madarakani na kisha kuwapa vitisho wajumbe husika.
Kwa mfano nchi gani labda kama haina wachumia tumbo kama afrika ,amerika kusini na Asia huko wamejaa vilaza kama kina mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini kisikae kama watu wamepewa nafasi ya upinzani wanakiwa wa hovyo kama hapa chademaHuzijui Nchi ambazo hakuna chama kimekaa madarakani miaka 60? Kama zipo basi ni kwa udikteta na chaguzi zilizojaa wizi, vitisho na ulaghai.
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hoja za chadema hiziUnafikiri kitoto kwa mambo ya kikubwa. Nenda kakojoe ulale.
Chadema ni hivyo miaka mingi sema ubabe wa mbowe ndio umetufisha hapa
Sent using Jamii Forums mobile app