Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Status
Not open for further replies.
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.

Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,

My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaumia nini? Wache wasuse. Ni haki yao kikatiba. Kususa kwao kitaiumiza nini CCM? Kama taswira ya nchi mbele ya malimwengu ni nzuri hakiharibiki kitu; kama ni mbaya itabaki hivyo ilivyo.
 
Wasuse tu Mimi binafsi sina tatizo Cha msingi wasichukue posho ya siku hiyo na Kama wamelipwa per diem ,per diem ya siku hiyo warudishe
 
Bora tu wasishiriki maana huenda Bunge likageuzwa jukwaa/uwanja wa kampeni.

Humo huenda watakuwa wamepanga kushangilia na kugonga meza na vijembe kwa wapinzani .
Kwa kweli. Maana hivi juzi tu bunge liligeuka jukwaa la kisiasa la kupokea wanachama wapya. Spika alisikika akisema yeye ni mjumbe wa NEC ya CCM hivyo anampokea Lijualikali kwenye Chama. Kwa kweli bunge limekuwa kijiwe tu kama vijiwe vingine.
 
Lijualikali ameakamata sana
Kwa kweli. Maana hivi juzi tu bunge liligeuka jukwaa la kisiasa la kupokea wanachama wapya. Spika alisikika akisema yeye ni mjumbe wa NEC ya CCM hivyo anampokea Lijualikali kwenye Chama. Kwa kweli bunge limekuwa kijiwe tu kama vijiwe vingine.
 
Kama jiwe na tiss yake wanavyopanga kuteka, kuua ma kuiba fedha za umma, bila kusahau wanavyopanga kuiba kura na kupora ushindi kwa msaada wa jwtz, police na NEC.
 
Mi naona wakiwemo ama wasipokiwemo haina tofauti yeyote ile.
Kama wana shughuli ya maana ya kufanya basi wanaweza kuifanya badala ya kupoteza muda wao kusikiaza mambo ambayo ni marudio. ( repeatation)
Shughuli ya maana waipate wapi hao ? Watoke tu kwani wameanza leo kufanya upuuzi huo ?
 
Acha kupotosha binti ukiitwa polisi uataeleza haya
Kama jiwe na tiss yake wanavyopanga kuteka, kuua ma kuiba fedha za umma, bila kusahau wanavyopanga kuiba kura na kupora ushindi kwa msaada wa jwtz, police na NEC.
 
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.

Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,

My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani taifa lina taswira nzuri au nikupakana siagi kwa mgongo wa chupa
 
Wabunge wapitishe sheria mbunge ukimsusia Rais hotuba yake basi hupati pensheni yako na unakatwa mshahara kiasi. Urais ni kama nembo ya taifa huwezi kuheshimu Bendera alafu umdharau Rais! Au unamheshimu mbowe unamdharau raid wakati mbowe hatoi hata mshahara! Wabishane hko bungeni waache kukimbia hovyo
non-sense
 
Ni bahati mbaya sana, kama wanataka hiiitaonyesha kuwa nchi hi inademokrasia
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.

Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,

My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom