USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaumia nini? Wache wasuse. Ni haki yao kikatiba. Kususa kwao kitaiumiza nini CCM? Kama taswira ya nchi mbele ya malimwengu ni nzuri hakiharibiki kitu; kama ni mbaya itabaki hivyo ilivyo.Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi walitoa taarifa kuwa Mangula amepatikana na SUMU mwilini, sasa kwanini mlitaka kumuondolea uhai bila sababu ya msingi?
Uko sahihi kwa sababu haki ya mpiga kura haithaminiwi siku hizi. Nakuunga mkono 100%.Uovu umebainika mapema. Hizi njama hazita wasaidia kurudisha majimbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama watarudi watatu sijui
Unaumia nini? Wache wasuse. Ni haki yao kikatiba. Kususa kwao kitaiumiza nini CCM? Kama taswira ya nchi mbele ya malimwengu ni nzuri hakiharibiki kitu; kama ni mbaya itabaki hivyo ilivyo.
Sasa kuwa na sumu ndio kupewa na ccm. Wewe ni mjinga wapi walisema wamepewa na ccmPolisi walitoa taarifa kuwa Mangula amepatikana na SUMU mwilini, sasa kwanini mlitaka kumuondolea uhai bila sababu ya msingi?
Kwa kweli. Maana hivi juzi tu bunge liligeuka jukwaa la kisiasa la kupokea wanachama wapya. Spika alisikika akisema yeye ni mjumbe wa NEC ya CCM hivyo anampokea Lijualikali kwenye Chama. Kwa kweli bunge limekuwa kijiwe tu kama vijiwe vingine.Bora tu wasishiriki maana huenda Bunge likageuzwa jukwaa/uwanja wa kampeni.
Humo huenda watakuwa wamepanga kushangilia na kugonga meza na vijembe kwa wapinzani .
Kwa kweli. Maana hivi juzi tu bunge liligeuka jukwaa la kisiasa la kupokea wanachama wapya. Spika alisikika akisema yeye ni mjumbe wa NEC ya CCM hivyo anampokea Lijualikali kwenye Chama. Kwa kweli bunge limekuwa kijiwe tu kama vijiwe vingine.
Shughuli ya maana waipate wapi hao ? Watoke tu kwani wameanza leo kufanya upuuzi huo ?Mi naona wakiwemo ama wasipokiwemo haina tofauti yeyote ile.
Kama wana shughuli ya maana ya kufanya basi wanaweza kuifanya badala ya kupoteza muda wao kusikiaza mambo ambayo ni marudio. ( repeatation)
kwani taifa lina taswira nzuri au nikupakana siagi kwa mgongo wa chupaNipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
non-senseWabunge wapitishe sheria mbunge ukimsusia Rais hotuba yake basi hupati pensheni yako na unakatwa mshahara kiasi. Urais ni kama nembo ya taifa huwezi kuheshimu Bendera alafu umdharau Rais! Au unamheshimu mbowe unamdharau raid wakati mbowe hatoi hata mshahara! Wabishane hko bungeni waache kukimbia hovyo
Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app