Tetesi: CHADEMA wamepanga kususia hotuba ya Rais ya kuvunja bunge

Status
Not open for further replies.
Andika yanayao eleweka
 
Huo ni woga sana mangi
 
Hoi hoi kabisa
 
Mkuu leo mmejiandaa kutoka
 
Tulia utaona
 
Kumsikiliza yesu wa Chato...ni kumdharau Mungu....wako sahihi..
 
Usiseme chadema sema baadhi ya wabunge wachadema, we hujaona jana wabunge 18 wachadema wamepitisha bajeti!.

Hao waliokuwa wanapinga kila kitu, wanatukana serikari, ndio maana wanaona aibu kuwa hapo maana hawatakuwa wabunge tena
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…