CHADEMA wamepewa mabilioni kuchafua zoezi la Katiba mpya - Nape

CHADEMA wamepewa mabilioni kuchafua zoezi la Katiba mpya - Nape

Greenwhich

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
1,337
Reaction score
968
Katika kile kinachoonekana kutapatapa kwa CCM Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nauye amekishushia tuhuma Chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.

Akizungumza katika kongamano la katiba jana Nape anasema amepata taarifa za uhakika kwamba kiongozi mmoja wa Chadema alienda nje ya nchi mwezi uliopita na kupewa mabilioni ya fedha kwa lengo la kuja kuvuruga mchakato wa Katiba mpya unaoendelea.

Nape amesema kiongozi huyo wa Chadema alisafiri tu mara pale Tume ya Katiba ilipotoa Rasimu yake na aliporudi ndipo chokochoko za kuvuruga mabaraza ya katiba zilipoanza.

Nape ametamba kwamba njama zote hizo zitazimwa na chama chake.

Source:Nipashe Jumapili.
 
Katika kile kinachoonekana kutapatapa kwa CCM Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nauye amekishushia tuhuma Chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.

Akizungumza katika kongamano la katiba jana Nape anasema amepata taarifa za uhakika kwamba kiongozi mmoja wa Chadema alienda nje ya nchi mwezi uliopita na kupewa mabilioni ya fedha kwa lengo la kuja kuvuruga mchakato wa Katiba mpya unaoendelea.

Nape amesema kiongozi huyo wa Chadema alisafiri tu mara pale Tume ya Katiba ilipotoa Rasimu yake na aliporudi ndipo chokochoko za kuvuruga mabaraza ya katiba zilipoanza.

Source:Nipashe Jumapili.
UHARO mweusiiiiiiii na mpya!! huyu hajapona tumbo na yale maradhi ya UCDM pole NAPE soon you will be NO MORE with this dehydration!!!
 
Katika kile kinachoonekana kutapatapa kwa CCM Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nauye amekishushia tuhuma Chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.

Akizungumza katika kongamano la katiba jana Nape anasema amepata taarifa za uhakika kwamba kiongozi mmoja wa Chadema alienda nje ya nchi mwezi uliopita na kupewa mabilioni ya fedha kwa lengo la kuja kuvuruga mchakato wa Katiba mpya unaoendelea.

Nape amesema kiongozi huyo wa Chadema alisafiri tu mara pale Tume ya Katiba ilipotoa Rasimu yake na aliporudi ndipo chokochoko za kuvuruga mabaraza ya katiba zilipoanza.

Nape ametamba kwamba njama zote hizo zitazimwa na chama chake.

Source:Nipashe Jumapili.
Atajaribu sana kupayusha habari mpya sokoni. CCM ni wauza madawa ya kulevya!!
 
Tunasikia kila siku na kila kona, wajumbe wengi wa mabaraza ya katiba, hunukuu miongozo toka Lumumba katika kujadili hizo rasimu. Tuliona barua pepe ikitoka kwa Migiro kuelekea kwa Nape, ikielezea mikakati ya kuingilia uhuru wa maoni ya watu. Nape na Mwigulu ni JANGA KWA CCM
 
Ilishathibitika kupitia waziri Pinda,upumbavu sio tusi bali sifa sitahiki,Nape ni mpumba.vu anayetumika kama vuvuzela!!
 
Huyu mbumbu wa wapi?Kama ana uthibitisho wa haya ni kwa nini asitoe hadharani?Kitengo cha kudhibiti fedha haramu kinafanya kazi gani maana kama inawezekana kuingiza fedha haramu tena nyingi bila kuchukuliwa hatua basi serikali ya CCM ijiuzulu pamoja na usalama wa Taifa.

Bila shaka huu ni udhaifu mkubwa ambao ameutangaza na hawana sababu ya kukaa madarakani
 
Nape Nnauye njoo ukanushe na taarifa hii kwenye gazeti tofauti, je hawa nao wamekunukuu vibaya? Una tatizo Mpwa jirekebishe
 
How huyo kiongozi avuruge huo mchakato? Nape kwa sasa amachoka sana kiakili na pia amechokwa sana kijamii. Hizi kauli zake za kuropoka zitamtokea puani Nape.
 
Kweli kuna kitu tunaita kutetea ugali wa watoto bt kaka nawe UGALI WAKO UNAUTETEA VIBAYA....njaa njaa gani NAPE?......kafungue mashtaka si una ushahidi?
 
Chadema Wamevuruga Vp Sasa Mabaraza Ya Katiba? Napengwa Zero Brain Kweli Kweli.....
 
Katika kile kinachoonekana kutapatapa kwa CCM Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nauye amekishushia tuhuma Chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.

Akizungumza katika kongamano la katiba jana Nape anasema amepata taarifa za uhakika kwamba kiongozi mmoja wa Chadema alienda nje ya nchi mwezi uliopita na kupewa mabilioni ya fedha kwa lengo la kuja kuvuruga mchakato wa Katiba mpya unaoendelea.

Nape amesema kiongozi huyo wa Chadema alisafiri tu mara pale Tume ya Katiba ilipotoa Rasimu yake na aliporudi ndipo chokochoko za kuvuruga mabaraza ya katiba zilipoanza.

Nape ametamba kwamba njama zote hizo zitazimwa na chama chake.

Source:Nipashe Jumapili.

Kama CHADEMA walipata mabilioni CCM walipata nini kwa Rais wa China Xi, Obama na mafisadi wauza unga na wauaji wa tembo wetu?
Watambue pia kwamba CHADEMA imepata kibali toka kwa wananchi wanyonge wa nchi hii, CCM imebaki na Polisi UWT, JWTZ lakini wajue nguvu ya UMMA ndo mwisho wa mambo yote.
 
ha ha ha hv nape akuli zake ziko timamu jamni? Mbona haya ni majanga kabisa tena makubwa mno....mchakato wa katiba umeanzishwa na chadema iweje tena leo waje kuwa haribu mchakato wa katiba?
Jaman nape acha uchizi wa mchana kweupe...pole sana kijana kajipange upya mama
 
Huyu Nape atapa shida jamani
na sijui kwa nini wazee wamemwachia yeye mwenyewe maskini
Ninakusikitikia na kukuonea huruma
Umemaliza kuwatukana wazee sasa umekuja kusema ya uongo kuhusu CHADEMA
Kumbuka asilimia kubwa ya vijana ni wapenzi sana wa CHADEMA
maana nyie mmehodhi rasilimali zetu vijana wamekaa vijiweni hawana kazi
Mmewaleta wa China kuja kuuza maji Dar? Kuja kuchoma mahindi? Hizi ni kazi za watz ila nyie mmefumba mamcho
mtakiona cha mtemakuni 2015
 
Hana ujasiri wa kusimama kwenye debate.Saizi yake facebook na jukwaa la TOT kunengua na Gitaa kunogesha mipasho au mziki wa mwambao.Hapa tunamuonea tu kwa tunaomfahamu.
 
Back
Top Bottom