Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
Katika kile kinachoonekana kutapatapa kwa CCM Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nauye amekishushia tuhuma Chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.
Akizungumza katika kongamano la katiba jana Nape anasema amepata taarifa za uhakika kwamba kiongozi mmoja wa Chadema alienda nje ya nchi mwezi uliopita na kupewa mabilioni ya fedha kwa lengo la kuja kuvuruga mchakato wa Katiba mpya unaoendelea.
Nape amesema kiongozi huyo wa Chadema alisafiri tu mara pale Tume ya Katiba ilipotoa Rasimu yake na aliporudi ndipo chokochoko za kuvuruga mabaraza ya katiba zilipoanza.
Nape ametamba kwamba njama zote hizo zitazimwa na chama chake.
Source:Nipashe Jumapili.
Akizungumza katika kongamano la katiba jana Nape anasema amepata taarifa za uhakika kwamba kiongozi mmoja wa Chadema alienda nje ya nchi mwezi uliopita na kupewa mabilioni ya fedha kwa lengo la kuja kuvuruga mchakato wa Katiba mpya unaoendelea.
Nape amesema kiongozi huyo wa Chadema alisafiri tu mara pale Tume ya Katiba ilipotoa Rasimu yake na aliporudi ndipo chokochoko za kuvuruga mabaraza ya katiba zilipoanza.
Nape ametamba kwamba njama zote hizo zitazimwa na chama chake.
Source:Nipashe Jumapili.