CHADEMA wamepewa mabilioni kuchafua zoezi la Katiba mpya - Nape

CHADEMA wamepewa mabilioni kuchafua zoezi la Katiba mpya - Nape

Huyu kada wa CHADEMA amepanda cheo kuwa msemaji na accountant wa CHADEMA!
 
nadhani nape anatakiwa kwenda naye nje ya nchi ili naye akapewe matrioni ya kuja kuboresha mchakato wa katiba na siyo kulalamika,atuache watanzania hatutaki uccm wake ebo.
 
Katika kile kinachoonekana kutapatapa kwa CCM Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nauye amekishushia tuhuma Chama kikuu cha upinzani nchini Chadema.

Akizungumza katika kongamano la katiba jana Nape anasema amepata taarifa za uhakika kwamba kiongozi mmoja wa Chadema alienda nje ya nchi mwezi uliopita na kupewa mabilioni ya fedha kwa lengo la kuja kuvuruga mchakato wa Katiba mpya unaoendelea.

Nape amesema kiongozi huyo wa Chadema alisafiri tu mara pale Tume ya Katiba ilipotoa Rasimu yake na aliporudi ndipo chokochoko za kuvuruga mabaraza ya katiba zilipoanza.

Nape ametamba kwamba njama zote hizo zitazimwa na chama chake.

Source:Nipashe Jumapili.

Ndio tatizo la kuto kujua madhara ya CAROLITE, kwamba ina kwangua hadi ubongo!!!
 
Hana ujasiri wa kusimama kwenye debate.Saizi yake facebook na jukwaa la TOT kunengua na Gitaa kunogesha mipasho au mziki wa mwambao.Hapa tunamuonea tu kwa tunaomfahamu.

Ndo sababu naona kuna watu wanaghafilikiwa wakati mwingine labda kutokana na ugumu wa maisha tulosababishiwa na serikaliinayoongozwa na NEPI na wenzake.Wanasema eti KAFILISIKA HIYO SI KWELI KWANI TANGIA LINI HUYU NEPI NA HAA UYE AKAWA NA AKILI TIMAMU?JAMANI MASIKINI HAFILISIKI,HAKUNA MTAJI WA HASARA!

 
Unatia aibu au mwigulu kaishakusavimbi na vitu vya ncha kali maana nasikia upo nae kambi tofauti shame on u ,,,,sikusikii ukisema juu ya wizi wa safari ya obama
 
Back
Top Bottom