Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mbumbu wa wapi?Kama ana uthibitisho wa haya ni kwa nini asitoe hadharani?Kitengo cha kudhibiti fedha haramu kinafanya kazi gani maana kama inawezekana kuingiza fedha haramu tena nyingi bila kuchukuliwa hatua basi serikali ya CCM ijiuzulu pamoja na usalama wa Taifa.
Bila shaka huu ni udhaifu mkubwa ambao ameutangaza na hawana sababu ya kukaa madarakani
Ben
Achana na Huyu jamaa anatapatapa Kama
Kuku anaetaka kutaga .
Kila anachosema ni mkosi au anajikosoa
Mwenyewe pamoja na CCM.
Akaombe radhi kwa wazee kwanza .
Hapa anajaribu kufunika hii issue yake
Ya kutukana wakubwa na wazee .
Matamshi ya kibaguzi ni jadi yake maana kuna siku alitoa hate speech against wachagga katika jitihada zake za kufanya dirty politics.Ni mbaguzi anayetia aibu karne hii ya 21.Msemaji wa CCM anachotamka ndiyo msimamo wa chama chake yaani kubagua wazee.Kumbe ndiyo maana hawataki kuwalipa wazee wa iliyokua jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kuwa wanajua watakufa kesho.Uzee si ugonjwa,ni lazima hata sisi vijana tutazeeka siku moja
Kauli ya Nape ni usaliti kwa vijana na sio wazee.Anataka jamii sasa ithibitishe kwamba vijana hatuna busara na hatuwezi kuongoza bali tunastahili kuongozwa
Vijana waliopewa dhamana kama huyu jamaa kupitia maneno,matendo na fikra zao wanastahi kutuwakilisha vyema ili tuaminike na kupewa responsibility kubwa na si kama alivyofanya huyu jamaa.Amekua disgrace!
Ukiwa kada wa CCM, unakuwa na mtazamo hasi tofauti na binadamu wengine duniani!
1. Vyama pinzani wanakuwa maadui wako kiasi cha kupanga mipango hata ya kuwauwa
2. Hoja tofauti na CCM, inakuwa ni fujo na vurugu.
3. Mitazamo tofauti na CCM, inakuwa kukosa uzalendo!
4. Upinzani dhidi ya CCM, inakuwa Ugaidi!
Kumbe ndio maana Dr Slaa alifanya usiri mkubwa kuhusu ziara yake ya barani Ulaya?
Huu usiri CHADEMA ni wanini? mbona wananchi tunazidi kujenga hofu na uhalali wa uwepo wa CHADEMA?
Hii ndiyo KIMYA KINGI KINA MSHINDO MKUU?
Ndio mshindo huu? Poor Nape
Kumbe ndio maana Dr Slaa alifanya usiri mkubwa kuhusu ziara yake ya barani Ulaya?
Huu usiri CHADEMA ni wanini? mbona wananchi tunazidi kujenga hofu na uhalali wa uwepo wa CHADEMA?
Nape Nnauye njoo ukanudhe na taarifa hii kwenye gazeti tofauti, je hawa nao wamekunukuu vibaya? Una tatizo Mpwa jirekebishe