MKUU WA WAKUU
Member
- Oct 23, 2010
- 18
- 1
Katika hali isiyo ya kawaida wazee wa kijiji cha zegero wilayani kisarawe wamemuomba kada mmoja wa chadema amshauri dr slaa amwachie raisi dakta kikwete amalizie kipindi chake cha pili,wazee hao walioonekana kuwa na wasiwasi na maisha yao baada ya uchaguzi wanaamini kuwa mkwere aka handsome boya au mzee wa madesa akizungumza ngeli,atawasaidia na kutimiza ahadism zake kama atapewa ngwe nyingine
duuu wajameni hawa wazeee hamnazo kwelii zegero bwana kina mzee buli hao jamani
duuu wajameni hawa wazeee hamnazo kwelii zegero bwana kina mzee buli hao jamani