Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wabongo🤣🤣🤣🤣cjui lipi jema kwao!! Kwahiyo misururu haitakiw tena 😂😂😂, kwahiyo CDM hawajijeng kweny mashina yao?Hiyo ndio hali halisi niliyoiona kwa CHADEMA, misafara yao wanapoingia mijini hupokelewa na mapikipiki na kila aina ya mikwara wenzao CCM wanajijenga vijijini huko kuna vikosi vinapita!
Ninyi jidanganyeni na hizo nyomi!
Mijini kuna waelewa ndio maana ccm wanaogopa. Vijijji wakiamka watawaendea maanyani na tummbili msituni na uwe mwishho waoHiyo ndio hali halisi niliyoiona kwa CHADEMA, misafara yao wanapoingia mijini hupokelewa na mapikipiki na kila aina ya mikwara wenzao CCM wanajijenga vijijini huko kuna vikosi vinapita!
Ninyi jidanganyeni na hizo nyomi!