Uchaguzi 2020 CHADEMA wanajipa matumaini hewa

Uchaguzi 2020 CHADEMA wanajipa matumaini hewa

Kwanza kabisa me sio mpenzi wa vyama vya Siasa ila nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Tanzania. Nimefatilia mchakato mzima wa chama Cha Chadema na wote tumejua wagombea wa uraisi watakao chuana na Dr. John Magufuli niwe mkweli katika hai wagombea wote sijaona hata mmoja atakayepata kura kuanzia 40% kuendelea dhidi ya Magufuli, keep it in your mind.

Nimeona humu jamvini wapenzi wa Chadema wakiaminishana watashinda uchaguzi mkuu. Niwaambie kitu: Hakuna Jambo zuri kama kukubali hali halisi kuliko kujipa matumaini hewa.

Kuwa rais wa nchi sio jambo jepesi kama wanavyoaminishana wanaChadema. Kuna vitu vingi vinavyo determine mtu kuwa raisi Kama ifuatavyo:

1. Financial capability
Uwezo wa mgombea kuwa na uwezo mkubwa wa kifedha au Chama kinachomsimamisha wa kufanya kampeni kwenye maeneo mengi ya Tanzania.Ukiangalia wagombea wa chadema hawana uwezo mkubwa wa kifedha. Lowassa aliweza kupata kura around 6 million; haikuja kwa urahisi ali-invest sana hela. Kwanza alinunua baadhi ya vipindi vya television ikiwemo ITV kuwafikia Watanzania wengi, ndio mgombea pekee aliyewahi kutokea wa upinzani ambaye aliyofanya kampeni maeneo mengi ya Tanzania n.k

2. Strong group support
Hapa tuna angalia makundi yenye nguvu Magufuli ana support kubwa ya viongozi wa dini zote na amecheza karata zake vizuri amejenga misikiti na amekuwa karibu Sana na viongozi wa kiislamu karibia shughuli zote pia ana support ya viongozi wa kikristo hata wale waliokuwa wanampinga sasa wapo upande wake kama mchungaji wangu Maksai wa kanisa la Korogwe huyu alikuwa ni Team Lowassa na alimpigia sana kampeni kanisani ila nowdays ni Team Magufuli na amekuwa anampaisha sana kanisani. Kuna Lusekelo, kuna Gwajima n.k Kuna magroup mengine ila naomba niishie hapo wakati Chadema haina mahusiano mazuri na viongozi wa dini.

3. 99.9% of artists support CCM
Wasanii wote wenye influence kubwa kwenye Jamii wanaisapoti CCM Kama vile Diamond and WCB in general ambao Wana wafuasi wengi sana kwa jina la "Team WCB" Kuna Alikiba, Harmonize, Mwana fa n.k

4. Kuwekeza kwenye majimbo aliyokosa kura
Hii Ni sababu itakayompa ushindi mnono Magufuli mf. Jimbo la Arumeru Arusha lilikuwa na tatizo sugu Sana la ukosefu wa Maji ila chini ya Magufuli ameleta mradi mkubwa wa Maji lakini pia walikuwa wanasumbuliwa na tatizo la Umeme tangu aingia Magufuli ameweza kupunguza tatizo la Umeme kwa kiasi kikubwa Sana. Kuimarisha usafiri wa treni Moshi, la tatu ni kuweka Dar kajenga flyover na miundombinu ya Barabara lakini uko kwetu kimara kulikuwa na tatizo maji kwa kiasi kikubwa na nikilio kikubwa kwa wakazi wa Ubongo, Kimara na Mbezi Magufuli amelitatua kwanza kwa kuaweka mabomba maeneo yote bure na wanatoa maji karibia wiki nzima. Suala mgao wa Umeme ulikuwa unaboa Sana na ilikuwa Ni tatizo kuu sana kwa dar ila now day inaweza kuchukua miezi hata 6 Umeme usikatike na hata ukikatika unarudi mapema tofauti na kipindi Cha nyuma.

NB: Kama nilivyotoa analysis yangu kwa kifupi Chadema hata kupata Asimilia 40 ya kura itakuwa ngumu kupata huo ndio ukweli wenyewe.Na bahati nzuri nyuzi zinabaki humu Kama kumbukumbu tutajionea.
Halafu, ni vizuri watu kujipa matumaini kwa nia na malengo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kujifariji! Hicho ndicho wanacho fanya CHADEMA na ACT - Wazalendo ingawa mimi nawaita ACT - Wananchi! Kuwa Mzalendo unafanya mchezo nini! Na mimi kwa utabiri wangu nasema hata 20% hawapati! Subiri utaona.
 
Huyo Mgombea wako umempitisha kashindana na kina nani?au hamna uchaguzi sisiem
Kwanini watu wanamtaja Tundu lisu kuwa ndio mgombea mkuu wa Chadema kwani chama chake kimempitisha au Hakuna uchaguzi wa ndani wa chama?
 
Umeandika sawa ila kuna mambo umeyaacha maksudi.

1. Msaada wa tume ya uchaguzi hasa returning officers utam favor Magufuli
2. Vyombo vya usalama , polis na TISS wata suppress sana kampeni za upinzani, upinzani watadakwa, tekwa na kuumizwa sana ikiwemo kuuliwa ili kuwakatisha tamaa
 
Kwanza kabisa me sio mpenzi wa vyama vya Siasa ila nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Tanzania. Nimefatilia mchakato mzima wa chama Cha Chadema na wote tumejua wagombea wa uraisi watakao chuana na Dr. John Magufuli niwe mkweli katika hai wagombea wote sijaona hata mmoja atakayepata kura kuanzia 40% kuendelea dhidi ya Magufuli, keep it in your mind.

Nimeona humu jamvini wapenzi wa Chadema wakiaminishana watashinda uchaguzi mkuu. Niwaambie kitu: Hakuna Jambo zuri kama kukubali hali halisi kuliko kujipa matumaini hewa.

Kuwa rais wa nchi sio jambo jepesi kama wanavyoaminishana wanaChadema. Kuna vitu vingi vinavyo determine mtu kuwa raisi Kama ifuatavyo:

1. Financial capability
Uwezo wa mgombea kuwa na uwezo mkubwa wa kifedha au Chama kinachomsimamisha wa kufanya kampeni kwenye maeneo mengi ya Tanzania.Ukiangalia wagombea wa chadema hawana uwezo mkubwa wa kifedha. Lowassa aliweza kupata kura around 6 million; haikuja kwa urahisi ali-invest sana hela. Kwanza alinunua baadhi ya vipindi vya television ikiwemo ITV kuwafikia Watanzania wengi, ndio mgombea pekee aliyewahi kutokea wa upinzani ambaye aliyofanya kampeni maeneo mengi ya Tanzania n.k

2. Strong group support
Hapa tuna angalia makundi yenye nguvu Magufuli ana support kubwa ya viongozi wa dini zote na amecheza karata zake vizuri amejenga misikiti na amekuwa karibu Sana na viongozi wa kiislamu karibia shughuli zote pia ana support ya viongozi wa kikristo hata wale waliokuwa wanampinga sasa wapo upande wake kama mchungaji wangu Maksai wa kanisa la Korogwe huyu alikuwa ni Team Lowassa na alimpigia sana kampeni kanisani ila nowdays ni Team Magufuli na amekuwa anampaisha sana kanisani. Kuna Lusekelo, kuna Gwajima n.k Kuna magroup mengine ila naomba niishie hapo wakati Chadema haina mahusiano mazuri na viongozi wa dini.

3. 99.9% of artists support CCM
Wasanii wote wenye influence kubwa kwenye Jamii wanaisapoti CCM Kama vile Diamond and WCB in general ambao Wana wafuasi wengi sana kwa jina la "Team WCB" Kuna Alikiba, Harmonize, Mwana fa n.k

4. Kuwekeza kwenye majimbo aliyokosa kura
Hii Ni sababu itakayompa ushindi mnono Magufuli mf. Jimbo la Arumeru Arusha lilikuwa na tatizo sugu Sana la ukosefu wa Maji ila chini ya Magufuli ameleta mradi mkubwa wa Maji lakini pia walikuwa wanasumbuliwa na tatizo la Umeme tangu aingia Magufuli ameweza kupunguza tatizo la Umeme kwa kiasi kikubwa Sana. Kuimarisha usafiri wa treni Moshi, la tatu ni kuweka Dar kajenga flyover na miundombinu ya Barabara lakini uko kwetu kimara kulikuwa na tatizo maji kwa kiasi kikubwa na nikilio kikubwa kwa wakazi wa Ubongo, Kimara na Mbezi Magufuli amelitatua kwanza kwa kuaweka mabomba maeneo yote bure na wanatoa maji karibia wiki nzima. Suala mgao wa Umeme ulikuwa unaboa Sana na ilikuwa Ni tatizo kuu sana kwa dar ila now day inaweza kuchukua miezi hata 6 Umeme usikatike na hata ukikatika unarudi mapema tofauti na kipindi Cha nyuma.

NB: Kama nilivyotoa analysis yangu kwa kifupi Chadema hata kupata Asimilia 40 ya kura itakuwa ngumu kupata huo ndio ukweli wenyewe.Na bahati nzuri nyuzi zinabaki humu Kama kumbukumbu tutajionea.
Mkuu kujipa matumaini ni jambo la kawaida katika ushindani wowote ule, huwezi kuingiza timu uwanjani halafu utangaze kuwa unaenda kufungwa, au labda ulitaka wasishiriki kabisa?
 
Kwanza kabisa me sio mpenzi wa vyama vya Siasa ila nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Tanzania. Nimefatilia mchakato mzima wa chama Cha Chadema na wote tumejua wagombea wa uraisi watakao chuana na Dr. John Magufuli niwe mkweli katika hai wagombea wote sijaona hata mmoja atakayepata kura kuanzia 40% kuendelea dhidi ya Magufuli, keep it in your mind.

Nimeona humu jamvini wapenzi wa Chadema wakiaminishana watashinda uchaguzi mkuu. Niwaambie kitu: Hakuna Jambo zuri kama kukubali hali halisi kuliko kujipa matumaini hewa.

Kuwa rais wa nchi sio jambo jepesi kama wanavyoaminishana wanaChadema. Kuna vitu vingi vinavyo determine mtu kuwa raisi Kama ifuatavyo:

1. Financial capability
Uwezo wa mgombea kuwa na uwezo mkubwa wa kifedha au Chama kinachomsimamisha wa kufanya kampeni kwenye maeneo mengi ya Tanzania.Ukiangalia wagombea wa chadema hawana uwezo mkubwa wa kifedha. Lowassa aliweza kupata kura around 6 million; haikuja kwa urahisi ali-invest sana hela. Kwanza alinunua baadhi ya vipindi vya television ikiwemo ITV kuwafikia Watanzania wengi, ndio mgombea pekee aliyewahi kutokea wa upinzani ambaye aliyofanya kampeni maeneo mengi ya Tanzania n.k

2. Strong group support
Hapa tuna angalia makundi yenye nguvu Magufuli ana support kubwa ya viongozi wa dini zote na amecheza karata zake vizuri amejenga misikiti na amekuwa karibu Sana na viongozi wa kiislamu karibia shughuli zote pia ana support ya viongozi wa kikristo hata wale waliokuwa wanampinga sasa wapo upande wake kama mchungaji wangu Maksai wa kanisa la Korogwe huyu alikuwa ni Team Lowassa na alimpigia sana kampeni kanisani ila nowdays ni Team Magufuli na amekuwa anampaisha sana kanisani. Kuna Lusekelo, kuna Gwajima n.k Kuna magroup mengine ila naomba niishie hapo wakati Chadema haina mahusiano mazuri na viongozi wa dini.

3. 99.9% of artists support CCM
Wasanii wote wenye influence kubwa kwenye Jamii wanaisapoti CCM Kama vile Diamond and WCB in general ambao Wana wafuasi wengi sana kwa jina la "Team WCB" Kuna Alikiba, Harmonize, Mwana fa n.k

4. Kuwekeza kwenye majimbo aliyokosa kura
Hii Ni sababu itakayompa ushindi mnono Magufuli mf. Jimbo la Arumeru Arusha lilikuwa na tatizo sugu Sana la ukosefu wa Maji ila chini ya Magufuli ameleta mradi mkubwa wa Maji lakini pia walikuwa wanasumbuliwa na tatizo la Umeme tangu aingia Magufuli ameweza kupunguza tatizo la Umeme kwa kiasi kikubwa Sana. Kuimarisha usafiri wa treni Moshi, la tatu ni kuweka Dar kajenga flyover na miundombinu ya Barabara lakini uko kwetu kimara kulikuwa na tatizo maji kwa kiasi kikubwa na nikilio kikubwa kwa wakazi wa Ubongo, Kimara na Mbezi Magufuli amelitatua kwanza kwa kuaweka mabomba maeneo yote bure na wanatoa maji karibia wiki nzima. Suala mgao wa Umeme ulikuwa unaboa Sana na ilikuwa Ni tatizo kuu sana kwa dar ila now day inaweza kuchukua miezi hata 6 Umeme usikatike na hata ukikatika unarudi mapema tofauti na kipindi Cha nyuma.

NB: Kama nilivyotoa analysis yangu kwa kifupi Chadema hata kupata Asimilia 40 ya kura itakuwa ngumu kupata huo ndio ukweli wenyewe.Na bahati nzuri nyuzi zinabaki humu Kama kumbukumbu tutajionea.
Mkuu kama hayo yote uliyosema yana ukweli pasi na shaka, basi ccm wasingekuwa wanaogopa kuweka tume huru au kuwaogopa Chadema kama wanavyowaogopa kwa sasa. Wakundi unayoyaona yanaunga mkono jua ni kwasababu yakiwa upande mwingine yanafanyiwa figisu mbaya sana, hivyo hayana budi kufanya unafiki. Ila kosa kubwa moja tu ni pale ccm wakikubali tume huru, hapo ndipo utauona ukweli ila kwa sasa sidhani kwani hakuna anayependa kufilisiwa/kitekwa/kuuwawa na figisu zingine zote uzijuazo
 
Umeandika mambo mengi wakati huwa mnapata msaada toka kwa Tume feki ya uchaguzi, na jeshi la polisi; hayo yote uliyoandika hayana maana.
Hicho kichaka mnachojifichaga kitafyekwa tu
 
Ni mwendawazimu tu anae weza kuamini chadema itashinda uchaguzi
 
Chadema wanakwenda angukia pua msimu huu hahahhaaha
 
Hapo nimetoa maoni yangu kuhusu uchaguzi utavyokuwa na nikatoa sababu za kwanini Naona Magufuli atashinda na wewe unaruhusiwa kutoa mtazamo wako ndio demokrasia ilivyo ndio hivyo.
Wewe kwa akili yako unaona kwamba ingekuwa vema kama Chadema wasingeshiriki kabisa uchaguzi kwa vile CCM ina nguvu sana.
 
Umeandika sawa ila kuna mambo umeyaacha maksudi.

1. Msaada wa tume ya uchaguzi hasa returning officers utam favor Magufuli
2. Vyombo vya usalama , polis na TISS wata suppress sana kampeni za upinzani, upinzani watadakwa, tekwa na kuumizwa sana ikiwemo kuuliwa ili kuwakatisha tamaa
Yaani anajifanya hajui kuwa nyenzo ya CCM kwenye uchaguzi ni hii
1571232805809.jpg
FB_IMG_1582080397242.jpg
 
Kwani hawajui basi tu hii ni sawa kuku jike anataka lakini hakubali kirahisi mpaka ampe tabu kidogo jogoo
 
Iwapo mgombea wa cdm atakuwa mmoja wa hawa,basi cdm hawawezi kupata hata 2% ya kura zote
Screenshot_20200617-131609.jpg
 
Mkuu kama hayo yote uliyosema yana ukweli pasi na shaka, basi ccm wasingekuwa wanaogopa kuweka tume huru au kuwaogopa Chadema kama wanavyowaogopa kwa sasa. Wakundi unayoyaona yanaunga mkono jua ni kwasababu yakiwa upande mwingine yanafanyiwa figisu mbaya sana, hivyo hayana budi kufanya unafiki. Ila kosa kubwa moja tu ni pale ccm wakikubali tume huru, hapo ndipo utauona ukweli ila kwa sasa sidhani kwani hakuna anayependa kufilisiwa/kitekwa/kuuwawa na figisu zingine zote uzijuazo
Me Nimezungumzia kitaaluma wewe unataka kujifichia kwenye kichaka Cha polisi
 
Kwanza kabisa me sio mpenzi wa vyama vya Siasa ila nimekuwa mfuatiliaji wa siasa za Tanzania. Nimefatilia mchakato mzima wa chama Cha Chadema na wote tumejua wagombea wa uraisi watakao chuana na Dr. John Magufuli niwe mkweli katika hai wagombea wote sijaona hata mmoja atakayepata kura kuanzia 40% kuendelea dhidi ya Magufuli, keep it in your mind.

Nimeona humu jamvini wapenzi wa Chadema wakiaminishana watashinda uchaguzi mkuu. Niwaambie kitu: Hakuna Jambo zuri kama kukubali hali halisi kuliko kujipa matumaini hewa.

Kuwa rais wa nchi sio jambo jepesi kama wanavyoaminishana wanaChadema. Kuna vitu vingi vinavyo determine mtu kuwa raisi Kama ifuatavyo:

1. Financial capability
Uwezo wa mgombea kuwa na uwezo mkubwa wa kifedha au Chama kinachomsimamisha wa kufanya kampeni kwenye maeneo mengi ya Tanzania.Ukiangalia wagombea wa chadema hawana uwezo mkubwa wa kifedha. Lowassa aliweza kupata kura around 6 million; haikuja kwa urahisi ali-invest sana hela. Kwanza alinunua baadhi ya vipindi vya television ikiwemo ITV kuwafikia Watanzania wengi, ndio mgombea pekee aliyewahi kutokea wa upinzani ambaye aliyofanya kampeni maeneo mengi ya Tanzania n.k

2. Strong group support
Hapa tuna angalia makundi yenye nguvu Magufuli ana support kubwa ya viongozi wa dini zote na amecheza karata zake vizuri amejenga misikiti na amekuwa karibu Sana na viongozi wa kiislamu karibia shughuli zote pia ana support ya viongozi wa kikristo hata wale waliokuwa wanampinga sasa wapo upande wake kama mchungaji wangu Maksai wa kanisa la Korogwe huyu alikuwa ni Team Lowassa na alimpigia sana kampeni kanisani ila nowdays ni Team Magufuli na amekuwa anampaisha sana kanisani. Kuna Lusekelo, kuna Gwajima n.k Kuna magroup mengine ila naomba niishie hapo wakati Chadema haina mahusiano mazuri na viongozi wa dini.

3. 99.9% of artists support CCM
Wasanii wote wenye influence kubwa kwenye Jamii wanaisapoti CCM Kama vile Diamond and WCB in general ambao Wana wafuasi wengi sana kwa jina la "Team WCB" Kuna Alikiba, Harmonize, Mwana fa n.k

4. Kuwekeza kwenye majimbo aliyokosa kura
Hii Ni sababu itakayompa ushindi mnono Magufuli mf. Jimbo la Arumeru Arusha lilikuwa na tatizo sugu Sana la ukosefu wa Maji ila chini ya Magufuli ameleta mradi mkubwa wa Maji lakini pia walikuwa wanasumbuliwa na tatizo la Umeme tangu aingia Magufuli ameweza kupunguza tatizo la Umeme kwa kiasi kikubwa Sana. Kuimarisha usafiri wa treni Moshi, la tatu ni kuweka Dar kajenga flyover na miundombinu ya Barabara lakini uko kwetu kimara kulikuwa na tatizo maji kwa kiasi kikubwa na nikilio kikubwa kwa wakazi wa Ubongo, Kimara na Mbezi Magufuli amelitatua kwanza kwa kuaweka mabomba maeneo yote bure na wanatoa maji karibia wiki nzima. Suala mgao wa Umeme ulikuwa unaboa Sana na ilikuwa Ni tatizo kuu sana kwa dar ila now day inaweza kuchukua miezi hata 6 Umeme usikatike na hata ukikatika unarudi mapema tofauti na kipindi Cha nyuma.

NB: Kama nilivyotoa analysis yangu kwa kifupi Chadema hata kupata Asimilia 40 ya kura itakuwa ngumu kupata huo ndio ukweli wenyewe.Na bahati nzuri nyuzi zinabaki humu Kama kumbukumbu tutajionea.
Unafikiri chama kinashinda kwasababu ya wasanii? Sielewi kwanini mnapenda ccm iendelee kubaki madarakani hata baada ya miaka 60 ya umaskini mkubwa Tz.
 
Unafikiri chama kinashinda kwasababu ya wasanii? Sielewi kwanini mnapenda ccm iendelee kubaki madarakani hata baada ya miaka 60 ya umaskini mkubwa Tz.
Mzee hapa nimechambua kutokana na siasa ilivyo sio kwasababu ya hisia zangu hatuwezi kumezeshana uongo wahati ukweli unaonekana.Kuhusu kupenda au kutopenda kwa CCM kuendelea madarakani nazani hiyo ipo kwa wafia chama hata hao chadema unao wahabudu sioni wanatofautiana Nini na CCM
 
Back
Top Bottom