johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chadema walijipendekeza kwa Dr Ruto wakati wa kampeni wakijinasibu kwamba anafanana sana na Tundu Lissu.
Lakini Wakenya wenyewe wanadai wamemchagua Ruto kwa sababu ni Mkweli tena ana hofu ya Mungu kama hayati Magufuli.
Ufipa st sasa wamepigwa butwaa
Lakini Wakenya wenyewe wanadai wamemchagua Ruto kwa sababu ni Mkweli tena ana hofu ya Mungu kama hayati Magufuli.
Ufipa st sasa wamepigwa butwaa