CHADEMA wanamkana Tundu Lissu kisayansi kama walivyomtenda Dkt. Slaa, Lissu hana nafasi tena CHADEMA!

Chadema ipo ICU na endapo hawatawavua uanachama hao watumwa wa kike waliouzwa Bungeni kienyeji kwa njia haramu za kishetani watambue kuwa chadema inafariki ijumaa na ndiyo mwisho wake kwani hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atasalia chadema tena watabakiwa na mazezeta kwani hakuna mtu anaupenda upumbavu huo
 
Chadema wakithubutu kutowafukuza watumwa wa kike waliuzwa Bungeni kienyeji kwa njia haramu za kishetani wattambue kuwa chadema inafariki na kuwa kama UDP NCCR CUF na TLP
 
Hahahaaa
 
Nani anaupenda mchezo wa mfumo?
 
Mdee na wenzake wanafukuzwa na kusahaulika kama wasaliti wengine
 
Jomba kwani wanatumia ubavu wa nguvu asili au ubavu wa katiba yao inasemaje
 
Yaani pumba gunia zima,hivi law akili yako Chadema wana angalia mtu,Chama ni kikubwa zaidi ya mtu Mdee anatolewa kweupe na wala Chadema haita yumba.
 
Kwa lipi special unaloliona wewe kwamba Mdee analo mpaka Chadema au Mnyika amuogope nyie ni wapuuzi sana Mdee atatolewa na mchukueni huko ufipa
 
Kwa lipi special unaloliona wewe kwamba Mdee analo mpaka Chadema au Mnyika amuogope nyie ni wapuuzi sana Mdee atatolewa na mchukueni huko ufipa
Tumchukue tumpeleke ufipa ipi!?... Makao makuu ya Chadema!?.. Umelewa nini!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…