CHADEMA wanamtamani Prof. Assad awe mgombea wao wa urais 2020!

Wewe unahitaji kupigwa kipara tena

You are strong than what you think...
 
Ni kiongozi yupi amesema hivyo?
Nimeamini akili ni nywere ila wewe kwakuwa una upara basi sipati shida
 
Aahaha chairman alishasema wapo tayari kutumia silaha yeyote ili mradi waingie ikulu!
 

Empty set
 
Unafikiri ana mapungufu gani?
In God we trust
 
Kwa ccm wakikuona unamtetea wasiyo mpenda basi tayari na huyo anakuwa ni mpinzani
In God we trust
 
Afadhali ngiri anatumia akili vizuri kuliko wewe
Mkutano 1 ni takriban vikao 12 na kila kikao ni posho ya sh.300,000/=, kwa maana nyingine Halima Mdee atakosa mikutano 2 ambayo ni sawa na 7,200,000/= iki ni baadhi ya chanzo cha marejesho ya mikopo! ndiyo maana Mnyika na Msigwa wamejikalia kimya!

In God we trust
 
Tusishangae Liquid akawa mkuu wa mkoa wa dsm
In God we trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…