LGE2024 CHADEMA wanashiriki uchaguzi wakitegemea nini? Hatutaki malalamiko

LGE2024 CHADEMA wanashiriki uchaguzi wakitegemea nini? Hatutaki malalamiko

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Joined
Nov 2, 2023
Posts
83
Reaction score
251
Msije baadaye mkasema mmedhulumiwa kura au kura zimeibwa.

Mnapoingia uwanjani ni kuwa mmekubaliana na sheria na taratibu za mchezo. Hakuna excuses za kipuuzi. Ni kupambana na kukubaliana na matokeo. Hakutakuwa na excuses ni mapambano. Mshindi apatikane.

Maana hamchelewi kusema mlinyanyaswa. Matokeo si yenyewe au sijui nini na nini. Kama mmeamua kushindana kwenye uchaguzi basi mmekubaliana na matokeo pia.

Kanuni ni zile zile za miaka yote hakuna jipya. Kama mlishinda before kwa kanuni hizi hizi mkishindwa pia mkubali. Maana hakuna ambacho kilinadilika.
 
Pamoja na mambo mengine, Ushiriki wa Chadema utafanya uchaguzi huu ufuatiliwe Dunia nzima, hii maana yake ni kwamba uchafu wote unaofanyika utaanikwa dunia nzima
 
Wewe ni yupi kwenye hii picha?

20241125_144109.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Pamoja na mambo mengine, Ushiriki wa Chadema utafanya uchaguzi huu ufuatiliwe Dunia nzima, hii maana yake ni kwamba uchafu wote unaofanyika utaanikwa dunia nzima
2019+2020 haukuanikwa?? Nini kilibadilika?
 
CHADEMA inachofanya ni kulipa CCM uhalali wa kutawala.
 
Msije baadaye mkasema mmedhulumiwa kura au kura zimeibwa.

Mnapoingia uwanjani ni kuwa mmekubaliana na sheria na taratibu za mchezo. Hakuna excuses za kipuuzi. Ni kupambana na kukubaliana na matokeo. Hakutakuwa na excuses ni mapambano. Mshindi apatikane.

Maana hamchelewi kusema mlinyanyaswa. Matokeo si yenyewe au sijui nini na nini. Kama mmeamua kushindana kwenye uchaguzi basi mmekubaliana na matokeo pia.

Kanuni ni zile zile za miaka yote hakuna jipya. Kama mlishinda before kwa kanuni hizi hizi mkishindwa pia mkubali. Maana hakuna ambacho kilinadilika.
Naona umekaza mishipa ya shingo. Ina maana hatuoni upuuzi unaoendelea katika huo uchaguzi wa kishenzi?
 
Back
Top Bottom