Chadema wasipewe fedha za ruzuku zilizotokana na ubunge wa Mdee na wenzake

Chadema wasipewe fedha za ruzuku zilizotokana na ubunge wa Mdee na wenzake

Huyu mwanamke mleta mada ni bure kabisa, wanakaliaga umbeya tu hata hakuna wanachojua. Useless kabisa.
 
Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.

Huwezi kula usichopanda.

Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Acha bhangi hazikufai
 
Ww veepee Mbona walizikataa tangu mwanzo? Admin futa uzi huu hauna maana yoyote.
Hapa bado huna au hamna madaraka yoyote, tayari ushaanza kuzuia watu wasiongee vitu usivyovipenda!!! Kazi kweli kweli 😄
 
Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.

Huwezi kula usichopanda.

Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Una amua kuandika kwa vile una bando au unajua taratibu za ruzuku?
Kwa kukusaidia ni kwamba hakuna ruzuku kwa ajili ya viti maalum. Bali kuna ruzuku kutokana na uwiano wa kura za urais.
 
Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.

Huwezi kula usichopanda.

Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Duuuh, leo ndiyo kwako ni habari mpya.

Chadema haijawahi kuchukua ruzuku yyte kutokana na uwakilishi wa hao vilaza.

Unaishi kijiji gani? Ila haya ndiyo matatizo kumiliki smartphone kwa mara ya kwanza, unakuwa na mshawasha.
 
Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.

Huwezi kula usichopanda.

Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Lakini kama uchaguzi ulikuwa siyo wa huru na haki (batili) na ukastahili kususiwa na ukasusiwa, iweje leo utake ruzuku inayotokana na uchaguzi ulioususa kuwa ni batili?

Nadhani madai yangejikita kutaka matokeo ya uchaguzi huo yafutwe na Mahakama na uchaguzi urudiwe upya katika mazingira ya haki, ingawa hilo likifanyika leo CCM kitapoteza viti vingi sana majimboni na halmashauri. The past is always sweet than the present. Thus the human orientation everywhere!
 
Hivi kumbe una ujinga hivi??, Kwamba ruzuku inapatikana kutokana na wabunge wa viti maalum??. Kweli ccm Kuna ujinga mwingi.
 
Anyway kama wanavyokuelezea wanazi wa CHADEMA hapo juu. Ruzuku zinatokana na uwingi wa kura za mgombea urais wa Chama husika na wala sio wabunge wa viti maalum..umeelewa eeh..
Ahsante Ndugu Mjumbe Magimbi kwa kutufungia thread, bila shaka chinembe ameelewa sasa.
 
Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.

Huwezi kula usichopanda.

Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Uko dunia ya ngap ww cdm ilishakataaaga iyo ruzuku kitambo sanaaa sa sijui unasemea ruzuku ipi???
 
Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.

Huwezi kula usichopanda.

Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka

Kama hujui kitu nyamaza. Halima Mdee ameingia bungeni kwa kura za urais.
 
Back
Top Bottom