CHADEMA wasipojiangalia watakuwa kama TAWI la Tanganyika Law Society, nawaona Marais wastaafu Wawili wa TLS Uongozini na Mawakili kibao!

Sawa, lakini kusema kwamba wana akili sana kuliko wengine
ni uongo wa wazi sana
 
Hata 12,000 x 1,000,000 =12,000,000,000 per year ni fedha nyingi sn kama zitatumika vizuri kwa uwazi, CHADEMA inaweza kujenga hostel zake Dodoma/Dar
Siasa sio makelele ni pesa,

Hao wanachama walalahoi hata hizo buku buku haziwezi kuja kwa wakati time will tell.
 
Zaifu=Dhaifu

Happy New Year ๐Ÿ˜„
Nimeanza kulewa tokea asubuhi kusherehekea ushindi wa LISSU na HECHE na wote waliochaguliwa.

Nasubiri kwa hamu Dr.Slaa arejee rasmi CHADEMA tuanze mapambanoโœŒ๏ธโœŒ๏ธ
 
Natoa tu angalizo Maana hata ODM ya Kenya ilijiegemeza sana Kwa Mawakili na Wanasheria ila sasa imekuwa Mdebwedo kama Matokeo ya huo ubia

Happy New Year Tundu Lisu

Ahsanteni sana ๐Ÿ˜„
Kamdomo, kamdomo,kamdomo , punguza kamdomo nyie ma ccm ,plan zenu zimeyeyuka kama barafu , safari hii, safari hii , kamdomo kenu ccm tutakaziba na cementi,
 
Siasa sio makelele ni pesa,

Hao wanachama walalahoi hata hizo buku buku haziwezi kuja kwa wakati time will tell.
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sn, chama kina marafiki nje ya nchi, kina ruzuku, kina wanachama wanaweza kuchangia hata 5,000,000 kwa mmoja na wengine hawana uwezo, toa mawazo ya Simba na Yanga kumtegemea mtu huku unawatu zaidi ya 10M ambao hata wangetoa tu elfu 10 kwa mwaka ungekuwa na zaidi ya 100B lakini kwa vile umeshindwa kuwaunganisha utaendelea kutegemea mtu.
 
watu wenye akili ni wenye uwezo wa kumiliki makampuni makubwa na kutengeneza mkwanja mrefu hao wengine nI wakawaida tu
 
Tangu lini HKL,HGL wakawa na Akili kuliko watu wote? Acha comedy basi
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Hii inanikumbusha NCCR ile ya kwanza, ya wakina Lamwai, Marando, Tenga, Safari, ..
Walikuwa tishio, sema ukiwajaza wengi wanakuwa kikwazo! Na wananunulika kirahisi!
 
Kuwa na akili inategemea definition yako, wengine kuiba ndio akili, kuteka na kuua akili, uchawa akili.
 
Huyo akishakunywa visungura vyake akipozea na lager moja ya baridi anakuwa na ulimwengu wake peke yake.
 
Natoa tu angalizo Maana hata ODM ya Kenya ilijiegemeza sana Kwa Mawakili na Wanasheria ila sasa imekuwa Mdebwedo kama Matokeo ya huo ubia

Happy New Year Tundu Lisu

Ahsanteni sana ๐Ÿ˜„

..sio TLS itakuwa moja ya kanda za Chadema?
 
ERB huwezi fananisha na TLS kwa muundo wa vyama na utendaji kazi wao Heshimu TLS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ