Chadema wasitumie chenja za jeshi kwenye kampeni.

Chadema wasitumie chenja za jeshi kwenye kampeni.

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Jana nilikwenda kumsalimia ndugu yangu Kibamba nikasikia kwenye gari la kampeni za uchaguzi serikali za mitaa gari lilikuwa la chadema.

Kuna baadhi ya chenja wametohoa na wanazipiga katika gari lao la mikutano.

Nilisikitika maana naona ni kama kutaka kuleta mambo ya siasa kwenye majeshi yetu.

Sioni afya katika jambo hili. Hizi chenja za kijeshi ziache kutoholewa na kutumika kwenye kampeni za kisiasa.
 
Jana nilikwenda kumsalimia ndugu yangu Kibamba nikasikia kwenye gari la kampeni za uchaguzi serikali za mitaa gari lilikuwa la chadema.

Kuna baadhi ya chenja wametohoa na wanazipiga katika gari lao la mikutano.

Nilisikitika maana naona ni kama kutaka kuleta mambo ya siasa kwenye majeshi yetu.

Sioni afya katika jambo hili. Hizi chenja za kijeshi ziache kutoholewa na kutumika kwenye kampeni za kisiasa.
Kamusi ya hapa kijijini kwetu haina neno chenja.Niiuze au nibaki nayo?
 
Jana nilikwenda kumsalimia ndugu yangu Kibamba nikasikia kwenye gari la kampeni za uchaguzi serikali za mitaa gari lilikuwa la chadema.

Kuna baadhi ya chenja wametohoa na wanazipiga katika gari lao la mikutano.

Nilisikitika maana naona ni kama kutaka kuleta mambo ya siasa kwenye majeshi yetu.

Sioni afya katika jambo hili. Hizi chenja za kijeshi ziache kutoholewa na kutumika kwenye kampeni za kisiasa.
Huna akili
 
Haa Mkuu Majeshi Gani?
Bar Inapigwa Gospel Safi
Sema Mkuu Mihemko Na Mahaba Yakizidi Kwa Kijani Basi Unaona Wengine Wanakosea
 
Back
Top Bottom