Chadema wasitumie chenja za jeshi kwenye kampeni.

Chadema wasitumie chenja za jeshi kwenye kampeni.

Hii tabia imenikera sana.

Chadema msiirudie.

Ni amri nimetoa.
 
Kwa hiyo jana ulipokuwa kijiweni ukasikia neno chenja kutoka Kwa wanafunzi walioenda JKT baada ya kumaliza form 6 ukaenda nyumbani huku ukilisema hilo neno kimoyomoyo ili usilisahau Kwa minajilinya kulitumia kuufungua uzi humu siyo.

Bisha uone cha moto.
 
We UWT utajulia wapi? badala ya kuandaa uchaguzi mmeandaa maigizo tupu
Maigizo wanafanya Chadema kwa kuwadanganya watu wakati hawana lolote la kuwasaidia nalo.

Mtu hana majority popote ataweza kufanya nini??
 
Kwa hiyo jana ulipokuwa kijiweni ukasikia neno chenja kutoka Kwa wanafunzi walioenda JKT baada ya kumaliza form 6 ukaenda nyumbani huku ukilisema hilo neno kimoyomoyo ili usilisahau Kwa minajilinya kulitumia kuufungua uzi humu siyo.

Bisha uone cha moto.
Nabisha.
 
Back
Top Bottom