secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Mi sijaenda JKTUnajua wewe uliyekwenda JKT.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sijaenda JKTUnajua wewe uliyekwenda JKT.
Nchi hii ina vilaza wengi sanaJana nilikwenda kumsalimia ndugu yangu Kibamba nikasikia kwenye gari la kampeni za uchaguzi serikali za mitaa gari lilikuwa la chadema.
Kuna baadhi ya chenja wametohoa na wanazipiga katika gari lao la mikutano.
Nilisikitika maana naona ni kama kutaka kuleta mambo ya siasa kwenye majeshi yetu.
Sioni afya katika jambo hili. Hizi chenja za kijeshi ziache kutoholewa na kutumika kwenye kampeni za kisiasa.
Huyu bibiye ametuletea stori walizokuwa wanapiga akina baba yake wakati anapika chakula cha usiku, cha kushangaza stori hakuzielewa kiundani alikuwa anaokoteza tu.Anawaza uchenjuaji wa makinikia huyo.
Huyu anaweza kukuambia chenja ni mavazi.Chenja ni nyimbo?
Amandla...
Na ukome kutuletea stori zisizokuwa na kichwa Wala miguu, right?.Sawa mama mdogo.
Hakuna hata chenja iliyoimbwaJana nilikwenda kumsalimia ndugu yangu Kibamba nikasikia kwenye gari la kampeni za uchaguzi serikali za mitaa gari lilikuwa la chadema.
Kuna baadhi ya chenja wametohoa na wanazipiga katika gari lao la mikutano.
Nilisikitika maana naona ni kama kutaka kuleta mambo ya siasa kwenye majeshi yetu.
Sioni afya katika jambo hili. Hizi chenja za kijeshi ziache kutoholewa na kutumika kwenye kampeni za kisiasa.
Kiswahili rahisi ni nini hiki?chenja