CHADEMA watakuja na sera ipi mpya kwenye mikutano yao?

CHADEMA watakuja na sera ipi mpya kwenye mikutano yao?

Michosho

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2012
Posts
662
Reaction score
649
Najaribu kijiuliza sioni jipya watakalokujanalo kwa wananchi, kama ni ufisadi, mgao wa umeme, utendaji mbovu wa baadhi ya watendaji wa serikali vyote vilikemewa na kudhibitiwa na serikali CCM wakati wa JPM.

Zaidi Mbowe yeye alikuwa analazimisha wananchi wafungiwe ndani (lockdown) kipindi vha Covid, na tena wakasusa bungeni.

Baadae kuwalazimisha wananchi wote wachanje chanjo ya Covid, ujinga mtupu

Binafsi sioni jipya CHADEMA watakalokuja nalo la kunishawishi zaidi ya kuwaona ni wachumia tumbo tu.

Bora kubaki na CCM tu lakini siyo akina CHADEMA. Katiba mpya wanayodai ni kwa ajili ya matumbo yao na si kwa ajili ya watanzani kama wanavyojinadi.

Wanafiki wakubwa katika nchi hii.
 
Najaribu kijiuliza sioni jipya watakalo Kuja nalo Kwa wananchi.kama ni ufisadi, mgao wa umeme, utendaji mbovu wa baadhi ya watendaji wa serikali vyote vilikemewa na kudhibitiwa na serikali CCM wakati wa JPM.

Zaidi MBOWE yeye alikuwa analazimisha wananchi wafungiwe ndani (lockdown)kipindi Cha COVID,na Tena wakasusa bungeni.


Baadae kuwalazimisha wananchi wote wachanje chanjo ya COVID.Ujinga mtupu

Binafsi sioni jipya CHADEMA watakalokuja nalo la kunishawishi zaidi ya kuwaona ni wachumia tumbo tu.

Bora kubaki na CCM tu lakini siyo akina CHADEMA.Katiba mpya wanayodai ni Kwa ajili ya matumbo yao na SI Kwa ajili ya watanzani km wanavyojinadi.wanafiki wakubwa katika nchi hii.
Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe
 
Ukweli mchungu ni kwamba wananchi wanaichukia CHADEMA kuliko hata wanavyoichukia CCM .kuna haja ya Mbowe kuachia Chama kiuhalisia siyo mpinzani wa kweli .
 
yaan atakae kuja na sera za mzee baba atababa saana kama ,rushwa, uzembe makazini, na mambo kama hayo lakni katiba kila uchwo huku vijijini hawali katiba wanataka mahindi debe 15000 mchele kilo 1200 siyo katiba
 
Subiria wakija utatuambia sera zao
Kila watakacho Kuja nacho, JPM alidhubutu kufanya Kwa taifa hili.Na huwezi ongea matatizo ya nchi hii bila kuongea jitihada za JPM katika kuziondoa.

Sasa wataawaambia nini wananchi Ili wawaelewe??na JPM walimpiga vita??Bora wangeungana nae kupinga ufisadi Leo hii wangepata Cha kuongea.

Chochote watakachoongea lazima waonekane waongo na wanafiki.
 
Najaribu kijiuliza sioni jipya watakalo Kuja nalo Kwa wananchi.kama ni ufisadi, mgao wa umeme, utendaji mbovu wa baadhi ya watendaji wa serikali vyote vilikemewa na kudhibitiwa na serikali CCM wakati wa JPM.

Zaidi MBOWE yeye alikuwa analazimisha wananchi wafungiwe ndani (lockdown)kipindi Cha COVID,na Tena wakasusa bungeni.


Baadae kuwalazimisha wananchi wote wachanje chanjo ya COVID.Ujinga mtupu

Binafsi sioni jipya CHADEMA watakalokuja nalo la kunishawishi zaidi ya kuwaona ni wachumia tumbo tu.

Bora kubaki na CCM tu lakini siyo akina CHADEMA.Katiba mpya wanayodai ni Kwa ajili ya matumbo yao na SI Kwa ajili ya watanzani km wanavyojinadi.wanafiki wakubwa katika nchi hii.
Relax middle class wa kitanzania, ni upumbavu wa hali ya juu kuwa na wasiwasi na kitu ambacho una uhakika nacho sio tishio kwako au tatizo kwako, CDM kwa mawazo yako imepoteza uelekeo sasa wasiwasi wako ni nini?,soma hili na lielewe, CDM ni moto mkali na puuzia on your own risk, waambie hapo Lumumba wananchi wanataka service delivers sio blah blah
 
Uz
Najaribu kijiuliza sioni jipya watakalo Kuja nalo Kwa wananchi.kama ni ufisadi, mgao wa umeme, utendaji mbovu wa baadhi ya watendaji wa serikali vyote vilikemewa na kudhibitiwa na serikali CCM wakati wa JPM.

Zaidi MBOWE yeye alikuwa analazimisha wananchi wafungiwe ndani (lockdown)kipindi Cha COVID,na Tena wakasusa bungeni.


Baadae kuwalazimisha wananchi wote wachanje chanjo ya COVID.Ujinga mtupu

Binafsi sioni jipya CHADEMA watakalokuja nalo la kunishawishi zaidi ya kuwaona ni wachumia tumbo tu.

Bora kubaki na CCM tu lakini siyo akina CHADEMA.Katiba mpya wanayodai ni Kwa ajili ya matumbo yao na SI Kwa ajili ya watanzani km wanavyojinadi.wanafiki wakubwa katika nchi hii.
Uzi michosho kama jina lako mtoa mada
 
Pilipili usio ila yakuwashiani?
Ccm
Tadea
Chadema
Cuf
Tlp
Act
Wote wafanye mikutano kadri watakavyoweza. Wananchi wataamua waende mkutano upi.
Ccm kila siku walikuwa wanafanya mikutano, walikuwa wanaeleza nini?
 
Pilipili usio ila yakuwashiani?
Ccm
Tadea
Chadema
Cuf
Tlp
Act
Wote wafanye mikutano kadri watakavyoweza. Wananchi wataamua waende mkutano upi.
Ccm kila siku walikuwa wanafanya mikutano, walikuwa wanaeleza nini?
Uongo wenu utakuwa wazi Sana.JPM aliwaaacha uchi kabisa
 
Najaribu kijiuliza sioni jipya watakalo Kuja nalo Kwa wananchi.kama ni ufisadi, mgao wa umeme, utendaji mbovu wa baadhi ya watendaji wa serikali vyote vilikemewa na kudhibitiwa na serikali CCM wakati wa JPM.

Zaidi MBOWE yeye alikuwa analazimisha wananchi wafungiwe ndani (lockdown)kipindi Cha COVID,na Tena wakasusa bungeni.


Baadae kuwalazimisha wananchi wote wachanje chanjo ya COVID.Ujinga mtupu

Binafsi sioni jipya CHADEMA watakalokuja nalo la kunishawishi zaidi ya kuwaona ni wachumia tumbo tu.

Bora kubaki na CCM tu lakini siyo akina CHADEMA.Katiba mpya wanayodai ni Kwa ajili ya matumbo yao na SI Kwa ajili ya watanzani km wanavyojinadi.wanafiki wakubwa katika nchi hii.
Watanzania sasa hivi wanakunywa chai na kiporo cha ugali , hapo hapatoshi kuanzia
 
Watanzania sasa hivi wanakunywa chai na kiporo cha ugali , hapo hapatoshi kuanzia
Sidhani kwani vyote hivyo vilifanywa na mzalendo JPM kupunguza mfumko wa Bei ya vyakula nchini.Hivyo wananchi wanajua kuwa yote hayo yalifanywa na MWAMBA,kuongea kinyume ni kumpinga... tayari utakuwa umekosana nao unaotegemea kura kutoka kwao.

In short ,JPM ALIFILISI KABISA HOJA ZA CDM.USALAMA WAO ILIKUWA KUUNGANA NAE KIPINDI KILE....NCHI HII WANGEICHUKUA KM WANAOKOTA VILE.
 
Najaribu kijiuliza sioni jipya watakalo Kuja nalo Kwa wananchi.kama ni ufisadi, mgao wa umeme, utendaji mbovu wa baadhi ya watendaji wa serikali vyote vilikemewa na kudhibitiwa na serikali CCM wakati wa JPM.

Zaidi MBOWE yeye alikuwa analazimisha wananchi wafungiwe ndani (lockdown)kipindi Cha COVID,na Tena wakasusa bungeni.


Baadae kuwalazimisha wananchi wote wachanje chanjo ya COVID.Ujinga mtupu

Binafsi sioni jipya CHADEMA watakalokuja nalo la kunishawishi zaidi ya kuwaona ni wachumia tumbo tu.

Bora kubaki na CCM tu lakini siyo akina CHADEMA.Katiba mpya wanayodai ni Kwa ajili ya matumbo yao na SI Kwa ajili ya watanzani km wanavyojinadi.wanafiki wakubwa katika nchi hii.

Naona asilimia 90 za nyuzi ni kuhusu CHADEMA, sijui wakianza mikutano itakuwaje.
 
Back
Top Bottom