CHADEMA watoa tamko baada ya viongozi wake kukamatwa wakiandamana: "Polisi wametumia nguvu kupita kiasi"

Ukabila kazi kweli kweli haya matamko yanastahili kutolewa na Bwana Mnyika ila kwa kuwa hana vinasaba na mzee Mbowe ,Mrema ndio mtendaji mkuu wa chamaπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
Acha kufikiri Kwa kutumia masaburi wewe! Tumia ubongo wewe kima!
 
Ni lazima tumkemee mzee Mbowe , demokrasia sio kukumbatia kabila lako , mnaotaka kujifanya hamuoni mna matatizo ya akili hakika.Hivi unadhani kwanini vijana hawajajitokeza?
Wewe ni hopeless kabisa!
 
Umoja, Amani na Utulivu wa waTanzani utalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote ile bila mbambamba ya mtu yeyote au kelele za nchi yoyote ile duniani.

wavuruga amani wapende au wasipende, hilo halina mjadala πŸ’
Dunia ielewe hivyo πŸ’
 

Attachments

  • downloadfile-1.jpg
    298.8 KB · Views: 2
  • AMANI_053446.png
    385.4 KB · Views: 2
  • 20240922_094712.jpg
    105 KB · Views: 2
  • 20240923_105848.jpg
    97.7 KB · Views: 2
Ukabila kazi kweli kweli haya matamko yanastahili kutolewa na Bwana Mnyika ila kwa kuwa hana vinasaba na mzee Mbowe ,Mrema ndio mtendaji mkuu wa chamaπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
Kwani Mnyika amemaliza kusali ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…