CHADEMA watueleze US$100,000 walizopewa na OpenSociety Nairobi kwa ajili ya kesi Mbowe zipo wapi?

CHADEMA watueleze US$100,000 walizopewa na OpenSociety Nairobi kwa ajili ya kesi Mbowe zipo wapi?

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.
CHADEMA na Wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh. 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?


Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua

Wanasubiri Majibu.

4082C838-32BF-4602-B89F-B7397D3E5B2F.jpeg
 
Wanaukumbi.
Chadema na wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?


Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua

Wanasubiri Majibu.

View attachment 2110421
Wote mnao Iona haki kwenye pesa lazima dish zenu ziwe zimeyumba mbaya kabisa. 🤔🤔
 
Wanaukumbi.
Chadema na wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?


Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua

Wanasubiri Majibu.

View attachment 2110421
Tupe kwanza ushahidi wa hizo hela ndo tuanze kuzifuatilia
 
Wanaukumbi.
Chadema na wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?


Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua

Wanasubiri Majibu.

View attachment 2110421
Ritz wewe ni CCM, mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini? Je mawakili unawalipa wewe?
 
Wanaukumbi.
Chadema na wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?


Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua

Wanasubiri Majibu.

View attachment 2110421

Wewe ni CCM kindakindaki mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini?.
 
Wanaukumbi.
Chadema na wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?


Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua

Wanasubiri Majibu.

View attachment 2110421
Labda watakuwa wamengea ofisi, maana hawajawahi kuwa na ofisi hao!
 
Wanaukumbi.
Chadema na wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?


Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua

Wanasubiri Majibu.

View attachment 2110421
Mnaulalia wazi mlango wa Chadema??🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom