UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Hao wasamalia wema ndiyo sisi sasa, hata tusio na chama kama mimi tumechanga!Hizo sio pesa za chadema. Ni wasamalia wema wamechanga.
Miccm ikisikia pesa inachanganyikiwa🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wasamalia wema ndiyo sisi sasa, hata tusio na chama kama mimi tumechanga!Hizo sio pesa za chadema. Ni wasamalia wema wamechanga.
Miccm ikisikia pesa inachanganyikiwa🤣🤣
Mlisema tunatembeza bakuli sasa gere ya nini?Hao wasamalia wema ndiyo sisi sasa, hata tusio na chama kama mimi tumechanga!
WASIPOKUELEZA UTAWAFANYA NINI?Wanaukumbi.
Chadema na wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Chama cha Kihalifu hicho, unategemea nini tena hapo?Wanaukumbi.
Chadema na wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Wakuelezeeee we na nani???Wanaukumbi.
Chadema na wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Unawachokoza Chadema....halafu unaingia mitiniNimemchokoza nani? Mimi nipo mbona
Wanaukumbi.
Chadema na wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Hizo kura nyie zimewasaidia nini zaidi ya kuwa watu duni zaidi? Hadi leo 2022 bado mnachambia vikopo vyenye kutu?Ndio maana wanakosa kura za waislamu,halafu wanasema wameibiwa kura.
Labda watakuwa wamengea ofisi, maana hawajawahi kuwa na ofisi hao!
Huoni hapo kuna wizi, saa hizi wanachangisha dola 100,000 kwa ajili ya kesi, kumbe wamarekani wameshatoa pesa ya kulipa mawakili... [emoji134][emoji134]
Kumbe tunawachangia halafu mnatubeza siyo?Mlisema tunatembeza bakuli sasa gere ya nini?
Mnaanza kutajana sasa assasins, mmeshakula fedha ya evil George Soros, soon Watanzania wataujua ukweli.
it’s a Coup !
Jpm aliwapenda sana, lakini mkaishia kumtukana baba wa watu eti hakusoma,,, sijui eti aliiba mtihani wa PhD,,Hayo Ndio maombi yenu. Baada ya kesi yenu ya uongo Sasa mmekuja na Mambo ya kutunga. CHADEMA hamuiwezi, alijaribu Magufuri kuidhurumu CHADEMA hakukalia kiti hata miezi minne akakondoka. Tengenezeni uongo wa Kila Aina lakini mwisho mtaumbuka Kama kina Makonda na Ndugai waliojifanya miamba dhidi ya CHADEMA.
Asasins umeshindwa kuwajua?. Polisi wanaua raia mtwara mpaka tume imeundwa wewe mnafiki umekalia kuita watu asasins. Asasins waliompiga risasi Lissu wewe mnafiki unawajua?. Acheni unafiki na uongo, ili tu mfurahie maumivu ya CHADEMA. Mjifunze wale walioinanga CHADEMA wako wapi?.
Kwani uongo?Mbona amekufa kwa sonona!?😝😝😝Jpm aliwapenda sana, lakini mkaishia kumtukana baba wa watu eti hakusoma,,, sijui eti aliiba mtihani wa PhD,,
Hamna jema, mna roho za hovyo na kamwe hatuwezi kubali mchukue nchi hii, kamwe
Unaelewa ulichokiandika au unaongozwa na hisia?Merde!Chadema, Zito na walio na Serikali sasa hivi wote wamoja, wameanza kuumbuana sasa hivi labda wanadhurumiana walioahidiana, wote assasins!