Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Sisiyemu yenu ndio imembambikizia kesi, sasa uhuru gani mwingine unaouongelea? Mmeamua kumfunga, mfungeni kwa raha zenuUhuru wa Mbowe upewe kipaumbele kwanza Sio michango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisiyemu yenu ndio imembambikizia kesi, sasa uhuru gani mwingine unaouongelea? Mmeamua kumfunga, mfungeni kwa raha zenuUhuru wa Mbowe upewe kipaumbele kwanza Sio michango.
CAG haoni ufisadi alafu wwe darasa la 4 ndio unahoji? Haupo seriousWanaukumbi.
CHADEMA na Wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh. 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Bla bla bila kuwa deposit slip ni umbea,weka deposit slip tuamini kuwa CHADEMA ilipewa hiyo helaWanaukumbi.
CHADEMA na Wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh. 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Umetumwa na Zitto Kabwe weweWanaukumbi.
CHADEMA na Wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh. 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Labda ana danga lake pale CHADEMA.Wewe ni CCM kindakindaki mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini ?.
Sisi tunaendelea kuchangia,kama imekuuma vumilia tu!Kwa hiyo na nyie mnapata excuse ya kupiga hela siyp daaah chama cha ukombozi
Jopo la kibatala linakula niniWote mnao Iona haki kwenye pesa lazima dish zenu ziwe zimeyumba mbaya kabisa. 🤔🤔
Kumbe.....Ndio maana huwa anaonekana Nairobi......Sasa nimeelewa......Lema anavyonenepa huko ughaibuni yeye na familia yake, watakuwa wamekula hizo Hela, anaishi maisha ya kifahari sana na watoto wake wanasoma shule za ada kubwa sana. Nyingine watakuwa wamempa Maria, hawara yao, aliyekimbia nchi na kwenda Nairobi kudanga
Duuh, ama kweli njaa mbaya...
Chadema oyeeWanaukumbi.
CHADEMA na Wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh. 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Ni maisha in general, kijana anaacha mapori ya urithi kijijini kwao anakwenda mjini kutafuta kazi, anaishia kuwa house boy kwa ujira wa 50,000 kwa mwezi. Wengine wananyanyaswa kingono na kuambikizwa magonjwa.Duuh, ama kweli njaa mbaya...
Jamaa anahangaika kuvuta kipande cha mkate ili ale, ashibe na kisha aendelee kukaa gerezani wakati ktk kipimo kilekile cha kufikia kuchukua kipande cha mkate ndicho angeweza kutumia apate funguo wa mlango wa gereza, afungue kisha atoke geezani na kuchukua mkate na kula kwa raha zake akiwa guru...!
So sad that, he has lost the greatest lifetime opportunity of his freedom...
Picha hii ni ina convey ujumbe muhimu sana juu ya ujinga wa mwanadamu...!
Why, how,, vyama vingi vilikuwepo toka 1950 huko,,Wewe unatamba na ofisi mlizopora wakati mfumo wa vyama vingi ulipoanza!! Hata aibu huna!!! Ofisi zote za CCM mlizopora zilijengwa wakati wa chama kimoja. Kila mwananchi alichangia ujenzi huo. Tena siyo ofisi tu bali hata viwanja vya michezo na shule.
Hivyo vyote vilitakiwa kuwa mali ya serikali wakati mfumo wa vyama vingi umeanza ili kila chama kijengwe na wanachama wake.
Ha ha, sasa hata kama wananchi walichanga, si walikua wana CCM?, Mbona uko mzito sana kuelewa mkuu?,Tatizo la watoto waliozaliwa miaka ya 1990s hata hawajui history ya nchi hii na jinsi mfumo wa vyama vingi ulipoanza. Huwa inanikera sana vijana wa CCM wanapobeza vyama vingine hasa CHADEMA kuwa haina ofisi. Hawajui kuwa CCM ilipora kila kitu kilichojengwa kwa michango ya wananchi wote wakati wa chama kimoja. Ofisi, viwanja vya michezo, shule etc
Maumivu yakizidi muone daktari.Ha ha, sasa hata kama wananchi walichanga, si walikua wana CCM?, Mbona uko mzito sana kuelewa mkuu?,
Elewa kwamba 95% ya wananchi walikuwa wana ccm,,
Refrundum ya kuchagua kuwepo ama kusiwepo vyama vingi ,
Wananchi walivikataa vyama vingi , ushahidi upo,, hiyo maana yake wananchi hao walikuwa wana CCM[emoji847][emoji847]
Achana na dhana uliyokuwa brainwashed eti hamjengi makao makuu ya chama, mnasubiri kukamata nchi mchukue majengo ya ccm,,
Mtasubiri kwerikweri nduguzanguni. ,
Miaka 10,000
Hapo ingekua zile swadaka zenu hadi dakika hii mngekua labda na 25,000TshKwa hiyo na nyie mnapata excuse ya kupiga hela siyp daaah chama cha ukombozi