macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mudi mabaraghashia acha udini wewe mzee. Una taa usoni lakini bado huoni mbele?Shida kubwa ya Bavicha na Pro-Chadema JF Wao pekee ndio wana haki ya kukosoa....wakiamini wana wafuasi wengi wakati upuuzi mtupu wana mbunge mmoja tu.
Ushahidi upo wapi? Weka ushahidi transaction ilivyofanyika.Wanaukumbi.
CHADEMA na Wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh. 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Ukimkuta kwenye kile kibenchi chao pale nje ya msikiti wa manyema na sigda yake utadhani mtu wa maana anavyowapwaga wenzie kumbe hopeless tu.Mudi mabaraghashia acha udini wewe mzee. Una taa usoni lakini bado huoni mbele?
Wanawalipa kina kibatalaWanaukumbi.
CHADEMA na Wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh. 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Waislam ambao mpo Chadema someni wwenyewe chuki na kejeli mnazopewa na wafuasi na viongozi wa Chadema.Ukimkuta kwenye kile kibenchi chao pale nje ya msikiti wa manyema na sigda yake utadhani mtu wa maana anavyowapwaga wenzie kumbe hopeless tu.
Usilolijua hata hiyo CCM mnayoipigia kura nyie sio kipaumbele kwao. Wanajua wakiwapea pilau mkavimbiwa kwisha habari yenu.Waislam ambao mpo Chadema someni wwenyewe chuki na kejeli mnazopewa na wafuasi na viongozi wa Chadema.
Endeleeni kuwashambulia Waslam mtakutana nao kwenye chumba cha kupigia kura badala ya kupambana na CCM mnapambana na Waislam.
Waislam wanaona sasa hivi ni vita baina ya Chadema na Waislam tuone nani atashinda.
Unajua kama Ofisi zinazosemekana ni za CCM zilijengwa na wananchi enzi ya chama kimoja?Labda watakuwa wamengea ofisi, maana hawajawahi kuwa na ofisi hao!
Umesema pesa zilikuwa kwa ajili ya kesi halafu unauliza zimetumikaje!!!! Kwani kesi imeisha na imegharimu kiasi gani?Wanaukumbi.
CHADEMA na Wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh. 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Watanzania wapenda haki na wafuasi wenu wanataka kujua
Wanasubiri Majibu.
View attachment 2110421
Wa kuchanga ni wewe mwamawane?.hiiiiiiKumbe tunawachangia halafu mnatubeza siyo?
Mbona hoja ya kishamba sana hii na imekuwa ikitumiwa mara kwa mara watu wenye upeo mdogo. Haya kama hayatuhusu mbona mambo mengi ya chadema yanaletwa hapa jukwaani....??? si myapeleke kwenye Whatsap group zenu huko ambako ndiko wanakutana wanachadema.
Si ndio zinaendelea kuwababaisha mashahidi na mawakili wa serikali kule mahakamani? Kwani hujaona watu wakiomba ruhusa ya kwenda chooni kila mara?Wanaukumbi.
CHADEMA na Wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh. 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini?
Nilichangia ujenzi wa CCm Kirumba mwaka 1978 TShs. 100/= ilikuwa ni LAZIMA kwa kila mwanafunzi. Hata kama hakuna sheria lakini ilitakiwa tulipoanza Mfumo wa Vyama vingi hata kama wananchi wengi hawakuchagua mfumo huo, mali zote zingerudi serikalini halafu kila chama kianze upya na siyo CCM kujimilikisha mali zilizojengwa kwa nguvu za wananchi woteWhy, how,, vyama vingi vilikuwepo toka 1950 huko,,
Baadae vilisitishwa,, kisha 95 vikaanzishwa, kinyume na maoni ya watanzania,
Je,, unayo risiti ya mchango ukichangia kujenga ccm kirumba [emoji2522].?
Je kuna sheria inabainisha kuwa mali za chama kilichokua kimoja zirudi kuwa za serikali?.
Wewe kwa akili yako unaamini kuwa mali za ccm zinatakiwa zirudi ziwe za serikali
Wakati vyama vingi vyenyewe vilikataliwa na 95% ya watanzania mwaka 1994?
Wewe ndiyo mzito kuelewa!!!! Kipindi cha mfumo wa chama kimoja watu wengi wala hawakuwa na chama bali wananchi walikuwa WANALAZIMISHWA kufanya vitu kwa ajili ya chama kilichokuwepo!Ha ha, sasa hata kama wananchi walichanga, si walikua wana CCM?, Mbona uko mzito sana kuelewa mkuu?,
Elewa kwamba 95% ya wananchi walikuwa wana ccm,,
Refrundum ya kuchagua kuwepo ama kusiwepo vyama vingi ,
Wananchi walivikataa vyama vingi , ushahidi upo,, hiyo maana yake wananchi hao walikuwa wana CCM[emoji847][emoji847]
Achana na dhana uliyokuwa brainwashed eti hamjengi makao makuu ya chama, mnasubiri kukamata nchi mchukue majengo ya ccm,,
Mtasubiri kwerikweri nduguzanguni. ,
Miaka 10,000