Uchaguzi 2020 CHADEMA wavurugana Jimbo la Kilombero. Pamoja na kushika namba 2 kura za maoni, Bilionea Shillah achukua fomu ya Ubunge

Mvurugano uko wapi sasa hapo? Ulidhani yatatokea kama ya ccm Dom?
 
Maelekezo kutoka juu.
Kama ni bilionare baaasi we need his money for campaign
 
Sacco's haina pesa ya kampeni Sasa mwenye pesa ndio anapewa nafasi hata Kama alishika nafasi ya 70 [emoji23][emoji1787]
 
Hayakuhusu tafutia wanao chakula
 
Watakuwa washakula dolaleeee za bilioneaaa.....
 
kuna kitu hukijui


πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜…

Kwa umri wangu nisichokijua ni mambo ya kiroho nikiwa nami nipo rohoni.



Mambo ya kimwili yote ni?????!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…