Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Naendelea kusisitiza tu hoja zangu
Kwamba Cdm ya Mbowe bado haimanishi kile inachisema
Walilalmika JPm kutaka kujiongezea muda wa uongozi huku Mbowe akibadilisha kipengele Cha ukomo na kumiliki Cha kisiasa Kama kampuni yake halisi
Walioinga ufisadi baadae wakampa uraisi waliyemuita fisadi mkuu
Wanasema Samia Must Go huku wakimwacha Mbowe kung'ang'ania madaraka ya uenyekiti tu wa chama
More than 20years
Baada ya plan ya Mbowe kufeli 2015 kwa kukitoa chama kwenye reli yake na kuliingiza kwenye pori la ufisadi
Alipaswa awajibike kwa niaba ya wenzake ili akiachie chama legacy yake
Lakini yeye kaamua chama kipoteze mvuto yeye ajisafishe
Mbowe alianza vizuri lakini Kuna uwekano akahiribu mwishoni kama wenzake kina Mrema Cheyo nk
Kwamba Cdm ya Mbowe bado haimanishi kile inachisema
Walilalmika JPm kutaka kujiongezea muda wa uongozi huku Mbowe akibadilisha kipengele Cha ukomo na kumiliki Cha kisiasa Kama kampuni yake halisi
Walioinga ufisadi baadae wakampa uraisi waliyemuita fisadi mkuu
Wanasema Samia Must Go huku wakimwacha Mbowe kung'ang'ania madaraka ya uenyekiti tu wa chama
More than 20years
Baada ya plan ya Mbowe kufeli 2015 kwa kukitoa chama kwenye reli yake na kuliingiza kwenye pori la ufisadi
Alipaswa awajibike kwa niaba ya wenzake ili akiachie chama legacy yake
Lakini yeye kaamua chama kipoteze mvuto yeye ajisafishe
Mbowe alianza vizuri lakini Kuna uwekano akahiribu mwishoni kama wenzake kina Mrema Cheyo nk