- Thread starter
- #21
Hamna kitunilijua lile picha la join chain liliwauma ccm kumbe ni chadema😄😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitunilijua lile picha la join chain liliwauma ccm kumbe ni chadema😄😳
Unaipenda sana CDM.Kwa ufuatiliaji huu ni bora ukachukue kadi mpya ya CDM.1. hawaeleweki wanataka na wanasimamia nini kama yasivyoeleweka maudhui ya bongo movies!
mfano: kufeli kwa ukuta na ukusanyaji wa michango mbalimbali ya fedha kutoka kwa walalahoi
2. wamekuwa na vijikaulimbiu (slogans) viiingi visivyo na maana kama titles za bongo movies. baadhi ya vijikaulimbiu vyao ni kama vifuatavyo;
- m4c
- operation sangara
- mambo iko huku; taarabu imo (hii ilianza mara baada ya kumpokea wema sepetu😀😀😀)
- ukuta n.k
3. wamekuwa na tabia ya kuongezea vijikaulimbiu visivyo na maana juu ya vijikaulimbiu visivyo na maana pia kama ambavyo bongo movies wanagawa movies zao katika part A na B hata kama hakuna sababu.
mfano: ni hiyo join the chain ilivyozaa boots on the ground bila matumizi ya umri, elimu wala uzoefu!
4. wamekuwa na tabia ya wivu na kuchamba kama ambavyo kina aunt ezekiel, wema, mobeto, wolper na shishi wanavyochambana huko bongo movies.
mfano: kila siku ni kazi ya kumchamba na kumzushia zitto kabwe bila sababu. ukichunguza sana utakutana na sababu iliyojificha ya kuwa zitto si mburura kama wao.
5. wameingiliwa na ugonjwa wa kutumia maneno ya kiingereza katika vikaulimbiu vyao kama ambavyo bongo movies wanatumia maneno ya kiingereza katika titles zao.
mfano: join the chain
boots on the ground
na mengine mengi........
karibuni katika kuongeza mengine.
matusi nitaona kama kiyoyozi tu!!
MIAKA 60 CCM INAJENGA MATUNDU YA VYOO AIBU1. hawaeleweki wanataka na wanasimamia nini kama yasivyoeleweka maudhui ya bongo movies!
mfano: kufeli kwa ukuta na ukusanyaji wa michango mbalimbali ya fedha kutoka kwa walalahoi
2. wamekuwa na vijikaulimbiu (slogans) viiingi visivyo na maana kama titles za bongo movies. baadhi ya vijikaulimbiu vyao ni kama vifuatavyo;
- m4c
- operation sangara
- mambo iko huku; taarabu imo (hii ilianza mara baada ya kumpokea wema sepetu😀😀😀)
- ukuta n.k
3. wamekuwa na tabia ya kuongezea vijikaulimbiu visivyo na maana juu ya vijikaulimbiu visivyo na maana pia kama ambavyo bongo movies wanagawa movies zao katika part A na B hata kama hakuna sababu.
mfano: ni hiyo join the chain ilivyozaa boots on the ground bila matumizi ya umri, elimu wala uzoefu!
4. wamekuwa na tabia ya wivu na kuchamba kama ambavyo kina aunt ezekiel, wema, mobeto, wolper na shishi wanavyochambana huko bongo movies.
mfano: kila siku ni kazi ya kumchamba na kumzushia zitto kabwe bila sababu. ukichunguza sana utakutana na sababu iliyojificha ya kuwa zitto si mburura kama wao.
5. wameingiliwa na ugonjwa wa kutumia maneno ya kiingereza katika vikaulimbiu vyao kama ambavyo bongo movies wanatumia maneno ya kiingereza katika titles zao.
mfano: join the chain
boots on the ground
na mengine mengi........
karibuni katika kuongeza mengine.
matusi nitaona kama kiyoyozi tu!!
Nenda kamfufue sasa.... Mwambie aamke bado wapo haiMagufuli aliiumbua sana Chagga Development Manifesto. Hawana hamu naye.
Siyo Ufipa?Nenda kamfufue sasa.... Mwambie aamke bado wapo hai
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hongera kwa kuzoea kufanywa matusi.1. hawaeleweki wanataka na wanasimamia nini kama yasivyoeleweka maudhui ya bongo movies!
mfano: kufeli kwa ukuta na ukusanyaji wa michango mbalimbali ya fedha kutoka kwa walalahoi
2. wamekuwa na vijikaulimbiu (slogans) viiingi visivyo na maana kama titles za bongo movies. baadhi ya vijikaulimbiu vyao ni kama vifuatavyo;
- m4c
- operation sangara
- mambo iko huku; taarabu imo (hii ilianza mara baada ya kumpokea wema sepetu😀😀😀)
- ukuta n.k
3. wamekuwa na tabia ya kuongezea vijikaulimbiu visivyo na maana juu ya vijikaulimbiu visivyo na maana pia kama ambavyo bongo movies wanagawa movies zao katika part A na B hata kama hakuna sababu.
mfano: ni hiyo join the chain ilivyozaa boots on the ground bila matumizi ya umri, elimu wala uzoefu!
4. wamekuwa na tabia ya wivu na kuchamba kama ambavyo kina aunt ezekiel, wema, mobeto, wolper na shishi wanavyochambana huko bongo movies.
mfano: kila siku ni kazi ya kumchamba na kumzushia zitto kabwe bila sababu. ukichunguza sana utakutana na sababu iliyojificha ya kuwa zitto si mburura kama wao.
5. wameingiliwa na ugonjwa wa kutumia maneno ya kiingereza katika vikaulimbiu vyao kama ambavyo bongo movies wanatumia maneno ya kiingereza katika titles zao.
mfano: join the chain
boots on the ground
na mengine mengi........
karibuni katika kuongeza mengine.
matusi nitaona kama kiyoyozi tu!!
Wenzenu wapo mitaani huko na join the chain nyie mmebaki kwenye mitandao kubwabwaja!!.. Wenzenu watawafikia watu wengi zaidi kuliko nyie?!!...Sasa hivi kila kitu mnaiga Tu wenzenu walikuja na Chadema digital mkaja hapa na vijembe haya na Nyie mmeanza digital kesho na Nyie muende Kwa wananchi mkasema mnafanya kupunguza gharama za maisha!!..1. hawaeleweki wanataka na wanasimamia nini kama yasivyoeleweka maudhui ya bongo movies!
mfano: kufeli kwa ukuta na ukusanyaji wa michango mbalimbali ya fedha kutoka kwa walalahoi
2. wamekuwa na vijikaulimbiu (slogans) viiingi visivyo na maana kama titles za bongo movies. baadhi ya vijikaulimbiu vyao ni kama vifuatavyo;
- m4c
- operation sangara
- mambo iko huku; taarabu imo (hii ilianza mara baada ya kumpokea wema sepetu😀😀😀)
- ukuta n.k
3. wamekuwa na tabia ya kuongezea vijikaulimbiu visivyo na maana juu ya vijikaulimbiu visivyo na maana pia kama ambavyo bongo movies wanagawa movies zao katika part A na B hata kama hakuna sababu.
mfano: ni hiyo join the chain ilivyozaa boots on the ground bila matumizi ya umri, elimu wala uzoefu!
4. wamekuwa na tabia ya wivu na kuchamba kama ambavyo kina aunt ezekiel, wema, mobeto, wolper na shishi wanavyochambana huko bongo movies.
mfano: kila siku ni kazi ya kumchamba na kumzushia zitto kabwe bila sababu. ukichunguza sana utakutana na sababu iliyojificha ya kuwa zitto si mburura kama wao.
5. wameingiliwa na ugonjwa wa kutumia maneno ya kiingereza katika vikaulimbiu vyao kama ambavyo bongo movies wanatumia maneno ya kiingereza katika titles zao.
mfano: join the chain
boots on the ground
na mengine mengi........
karibuni katika kuongeza mengine.
matusi nitaona kama kiyoyozi tu!!
Mkuu mimi nidhani chadema imekufa kumbe bado ipo. Unajua hiyo buku7 unalipwa ajili ya uwepo wa chadema? Kuna mmoja alijiapiza kuiua Chadema ila ajabu akafa yeye. Pipozzzzzzz.... poweeeeeeeeeeeer1. Hawaeleweki wanataka na wanasimamia nini kama yasivyoeleweka maudhui ya bongo movies!
mfano: kufeli kwa ukuta na ukusanyaji wa michango mbalimbali ya fedha kutoka kwa walalahoi
2. Wamekuwa na vijikaulimbiu (slogans) viiingi visivyo na maana kama titles za bongo movies. baadhi ya vijikaulimbiu vyao ni kama vifuatavyo;
- m4c
- operation sangara
- mambo iko huku; taarabu imo (hii ilianza mara baada ya kumpokea wema sepetu😀😀😀)
- ukuta n.k
3. Wamekuwa na tabia ya kuongezea vijikaulimbiu visivyo na maana juu ya vijikaulimbiu visivyo na maana pia kama ambavyo bongo movies wanagawa movies zao katika part A na B hata kama hakuna sababu.
mfano: ni hiyo join the chain ilivyozaa boots on the ground bila matumizi ya umri, elimu wala uzoefu!
4. Wamekuwa na tabia ya wivu na kuchamba kama ambavyo kina aunt ezekiel, wema, mobeto, wolper na shishi wanavyochambana huko bongo movies.
mfano: kila siku ni kazi ya kumchamba na kumzushia zitto kabwe bila sababu. ukichunguza sana utakutana na sababu iliyojificha ya kuwa zitto si mburura kama wao.
5. Wameingiliwa na ugonjwa wa kutumia maneno ya kiingereza katika vikaulimbiu vyao kama ambavyo bongo movies wanatumia maneno ya kiingereza katika titles zao.
mfano: join the chain
boots on the ground
Na mengine mengi.
Karibuni katika kuongeza mengine.
Kale bata na wewe kama utaweza, umasikini wako haujaletwa na Chadema bali FisiemuWafa maji hawaishi kutapatapa,bakuli kwaajili ya mkutano mkuu hapo mtu fulani alimisi viyoyozi kwenye mahoteli makubwa hapo mkutano mkuu utashangaa unaenda kufanyika bahari beach resolt[emoji23] wakati wenzao walikuwa kwenye ukumbi wa chama wao kutwa kwenye mahoteli ya kifahari hamna chama kuna wala bata tu.
Jamaa alizoea kuua ua kila kitu, alipojaribu kuiua chadema akajikuta yuko futi 6 ardhini. Mungu fundi.Magufuli aliiumbua sana Chagga Development Manifesto. Hawana hamu naye.
Hiyo profile Tu inajieleza kuwa ni mtu WA namna gani, huitaji kujibiwaHongera kwa kuzoea kufanywa matusi.
Wapi unapofanyia matusi hadi uone kama kiyoyozi?
Kwani ipo hai kamanda?!!!!!Mkuu mimi nidhani chadema imekufa kumbe bado ipo. Unajua hiyo buku7 unalipwa ajili ya uwepo wa chadema? Kuna mmoja alijiapiza kuiua Chadema ila ajabu akafa yeye. Pipozzzzzzz.... poweeeeeeeeeeeer
Watawakuta wanakoenda kuibukia!Wenzenu wapo mitaani huko na join the chain nyie mmebaki kwenye mitandao kubwabwaja!!.. Wenzenu watawafikia watu wengi zaidi kuliko nyie?!!...Sasa hivi kila kitu mnaiga Tu wenzenu walikuja na Chadema digital mkaja hapa na vijembe haya na Nyie mmeanza digital kesho na Nyie muende Kwa wananchi mkasema mnafanya kupunguza gharama za maisha!!..
Itakuwa aibu zaidi kujisaidia nje!MIAKA 60 CCM INAJENGA MATUNDU YA VYOO AIBU
ambayo sasa tangu makengesza katoka lupango haiongelei tenma yaani iliishia pale ikulu sasa hivi ni wizi wa michango kwakwenda mbeleLengo kuu la Chadema ni KATIBA MPYA
izo mwafadhiri wakitoa hela mbowe anakula hela za sabodo kala zote milioni mia mojaItakuwa aibu zaidi kujisaidia nje!
Halafu kujenga nchi yote hii si suala dogo......ukitaka kuthobotisha Hilo angalia chadema walivyishondwa kujenga ofisi Tu mpaka sasa!
Bado ipo?Jamaa alizoea kuua ua kila kitu, alipojaribu kuiua chadema akajikuta yuko futi 6 ardhini. Mungu fundi.