17 September 2020
Chama kikuu cha upinzani Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeahidi kumtunza kwa vyema Rais John Pombe Joseph Magufuli kwa heshima zote baada ya uchaguzi kuisha Oktoba 2020.
Ni suala la mheshimiwa mstaafu mtarajiwa kuamua wapi atataka kukaa iwe Chato, Geita au Dar es Salaam au popote atapoamua nchini Tanzania na serikali mpya ya CHADEMA 2020 itampatia stahiki zote kama mstaafu aliyewahii kuitumikia Tanzania katika cheo cha juu kabisa cha utumishi wa umma.
Serikali ya CHADEMA pia itamtumia kumwakilisha Rais Tundu Lissu katika shughuli za nje ya nchi pale Rais na Makamu wake watapokuwa wamebanwa, utaratibu huu wa kuwatumia wastaafu ulianza tangu enzi za wastaafu Mwalimu Nyerere, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete na John Magufuli atapata wasaa wa kufanya shughuli kama mstaafu ndani na nje ya nchi.
CHADEMA YAAHIDI KUMTUNZA RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KAMA RAIS MSTAAFU WA 5
Chama kikuu cha upinzani Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeahidi kumtunza kwa vyema Rais John Pombe Joseph Magufuli kwa heshima zote baada ya uchaguzi kuisha Oktoba 2020.
Ni suala la mheshimiwa mstaafu mtarajiwa kuamua wapi atataka kukaa iwe Chato, Geita au Dar es Salaam au popote atapoamua nchini Tanzania na serikali mpya ya CHADEMA 2020 itampatia stahiki zote kama mstaafu aliyewahii kuitumikia Tanzania katika cheo cha juu kabisa cha utumishi wa umma.
Serikali ya CHADEMA pia itamtumia kumwakilisha Rais Tundu Lissu katika shughuli za nje ya nchi pale Rais na Makamu wake watapokuwa wamebanwa, utaratibu huu wa kuwatumia wastaafu ulianza tangu enzi za wastaafu Mwalimu Nyerere, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete na John Magufuli atapata wasaa wa kufanya shughuli kama mstaafu ndani na nje ya nchi.