Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae mapema kutafuta kazi mpyaSio mbaya kuota ndoto! Tuwaambie tu kwamba nchi haiwezi kuendeshwa na saccos!
Magufuli 2015 - 2025
Marais wastaafu waliomtangulia Rais John Magufuli kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kustaafu kwa heshima zote stahiki ni:
- Julius Nyerere 1961 - 1985
- Ali Hassan Mwinyi 1985 - 1995
- Benjamin W. Mkapa 1995 - 2005
- Jakaya Kikwete 2005 - 2015
Mwaka huu hakuna kiitikio hiko. Reference to Malawi.Kiitikio: tumeibiwa kura
Viva JPM
Mwaka huu hakuna kiitikio hiko. Reference to Malawi.
Tena akashinda kwa kishindo kuongoza SADCMgombea urais wa CCM Mpya anahusudiwa sana na wanaAfrika kwa mujibu wa wenzetu UVCCM na wageni ktk nchi za mbali.
Akiwa mstaafu atasimulia alivyofanikiwa kuyafanya katika kipindi chake cha urais cha miaka 5.
Atapata muda wa ziara nyingi za mialiko kufanya mihadara ktk makongamano nje ya nchi na vyuo vikuu tajwa duniani kuhusu mafanikio yake ktk Maendeleo ya Vitu, kupiga vita rushwa na kusukuma miradi mikubwa bila kucheleweshwa au kusikiliza maoni ya wananchi , wadau wa maendeleo au bunge kiasi ya kuwa miradi hiyo kama flyovers, SGR reli, ndege za ATCL , madaraja yanayokatiza rasi za bahari ya Hindi na rasi ya ziwa Victoria kutamaniwa ingefanyika ktk nchi hizo za nje.
Wafuasi wa Nikolai cheusesku pia hawakuamini kwamba anguko la bwana wao lingekuja Kama mwewe.Labda angeongelea kumtunza Mbowe Kama atastaafu uenyekiti angekuwa anaongelea Jambo linalowezekana, Sasa Chadema kumtunza mwenyekiti wa CCM wapi na wapi?
Unajua mwisho wa Nikolai cheusesku ulikuwaje?Kuna watu mafala sana. Like seriously!! Lissu hatakiwa raisi wa Tanzania ever.
Huyu mwamba ariona mbaliHuyu anatakiwa aeleze waliopotezwa wote wakati wa awamu wako wapi ?
Kwa hiyo Hilo limo kwenye sera ya Chadema?Lissu abarikiwe kwa moyo wa kuona haina sababu kuwa na kinyongo.