Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
😃Mapambano hayajawahi kuogopa maji , huu tulioufanya ni ubinadamu tu .
Chadema siyo chama cha kiangazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃Mapambano hayajawahi kuogopa maji , huu tulioufanya ni ubinadamu tu .
Chadema siyo chama cha kiangazi
Vipi hao wanaopita na mwenge kwa mbwembwe kwenye makazi ya watu waliokumbwa na mafuriko ili mradi tu waimbe nyimbo za kumsifu mama Samia! Ujuha huu mnauona sahihi kisa tu wewe ni chawa wa mama Samia!ubinadamu ni kufanya maandamano ya kuwaunganisha wanaKaratu waTanzania wenye mapenzi mema kuunganisha nguvu kwa hali na mali kuwasaidia wahanga wa mafuriko eneo hilo
mna mbwelambwela tu na coded aims zenu zisizo eleweka behinde the scene, mkadhani malango yenu hayajulikani japo ni dhaifu sana na yasio na madhara wala tija yoyote kwa Taifa, politically speaking......![]()
mwenge utakwenda popote na kutatua kila changamoto iliyokusudiwa na kutoa ahueni kwa wahanga wowote waleVipi hao wanaopita na mwenge kwa mbwembwe kwenye makazi ya watu waliokumbwa na mafuriko ili mradi tu waimbe nyimbo za kumsifu mama Samia! Ujuha huu mnauona sahihi kisa tu wewe ni chawa wa mama Samia!

Mwenge huja na miradi ya maendeleo, maandamano huja na porojo; wewe huoni tofauti hapo?Wewe mwenye macho ungewashauri hao wanaokimbiza mwenge kwenye matope wawaache wananchi wapambane na mafuriko.
Kuzindua gesti au kumwita Haji Manara ndio miradi ya maendeleo hiyo ?Mwenge huja na miradi ya maendeleo, maandamano huja na porojo; wewe huoni tofauti hapo?
Hawajiongezi!sayansi ya siasa imewapitia pembeni sana hawa watu for sure.....![]()
Mwenge unakimbizwa nchi nzima, Manara anaitwa nchi nzima?Kuzindua gesti au kumwita Haji Manara ndio miradi ya maendeleo hiyo ?
Miradi ya maendeleo! Watu wako bize wanapambana na mafuriko wewe unaleta porojo za maendeleo ambayo yameshindikana kwa zaidi ya miaka 50, wakati tunapata uhuru China na sisi tulikuwa masikini kundi moja, sisi tumebaki kwenye kula kwa urefu wa kamba yako!Mwenge huja na miradi ya maendeleo, maandamano huja na porojo; wewe huoni tofauti hapo?