Elections 2010 Chadema yaangukia pua zikiwa zimesalia dakika chache!!!

Elections 2010 Chadema yaangukia pua zikiwa zimesalia dakika chache!!!

masai_boma3_2.jpg
maisha bora kwa kila mtanzania
 
kumekucha ss si watu wa maneno ni vitendo

View attachment 15755

JK akipokea bendera ya CHADEMA, kutoka kwa mwenyekiti wa Wanawake wa chama hicho jimbo la Kwimba, Monika Jimotoli mara baada ya kutangaza kukihama chama hicho kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika jimboni humo. Monika amehama chama hicho na wenzake 18.


sababu ya kujifonyoa kwenye Chama ati kinachojita Mbadala


Mwenyekiti wa wanawake Chadema Wilayani Kwimba Mama Monica Jimotolo, amerudisha kadi ya chama hicho na kuingia rasmi CCM.

Mama Jimotolo alieleza sababu kuu iliyomfanya kuingia CCM ni kuchoshwa kwake na siasa za chuki na uchochezi ambazo zinalenga kuvunja amani na mshikamano wa nchi yetu.

Alieleza hadhara hiyo kuwa baada ya kufanya uamuzi huo, wengine kumi na saba wameongozana naye na kusema chama hicho kimekufa wilayani hapo. Wanachama hao walikaribishwa na Mwenyekiti wa CCM taifa na kupewa kadi za Chama Cha Mapinduzi.



naam kimekufa na JK amekabidhiwa rasmi Tambara( eeh bendera) ya chama hicho



source: MICHUZI

Everyone has a photographic memory, you just don't have film.
 
Mwafrika asante kwa picha,huyo mama anayerudisha bendera kapotea na jk wake,mtu makini hawezi pokea bendera anapokea kadi.Hapo mtu mzima kachanganyikiwa.Yaani akimuona Dr.wa ukweli anazunguukwa na kichwa namna hii :bowl:
 
wakati huo huo mama salma anatumia milioni 28 kukodi hili dege la kifahari kwa matumizi ya masaa matano tu:

2241536655_540d01c2cf.jpg
Hata kama ni mke wa rais hizi hela zina toka kwenye bajeti gani watz wenzangu?ni mfuko upi huo unato 28m kwa vijisafari visivyo eleweka?
Amesahau waalimu wenzie pale mbuyuni kua hiyo 28m wangejikomboa kama mtaji?SHAME ON THEM ALL(FAMILY).
2015 LAZIMA TUWAFIKISHE MAHAKAMANI HATA ZA NJE.
 
Hamna lolote; huyo kapewa hela na anajua anachofanya. Atawapa bendera na kadi bandia, halafu anachukua pesa yenu kisha kura yake inakwenda CHADEMA
 
anaesema sukari wakati huo ilikua sh 400 au 600 yeye alikua na umri gan? na sasa ana umri gani ? ni ule ule ?

jee miaka duniani nchi nyengine sukari ilikua bei gani na sasa jee ni bei ilele ?


hatudanganyiki JK go go gooooo

maana ustawi wa jamii unaonekana leo kila mtu alau anajiua wapi akatafute rizk, ujambawazi umepungua, elimu kwa anaetaka kusoma na vyuo vimo vikiendelea kujengwa, mabara bara huduma za maji na umeme zinaimarika mpaka kigoma mwisho wa reli


JK CHAPA KAZI HAO KUROPOKWA NDIO KAZI YAO NA MAJUNGU KAMA ALIVYOSEMA MAMA ALIPOREJESHA BENDERA HAO NA NAIOMBA MM NIFUTIE MAKAMASI
 
Sasa tukishindwa, tujiandae kusota kwa miaka mingine mitano ijayo. Kodi kwa sana maana wametangaza elimu bure hadi form four. Wafanyabiashara walichangia kampeni za ccm lazima wakwepe kulipa ushuru kwa sana kurudisha hela yao ya kampeni.
 
ndugu yangu slaa yu taban anaangalia ni jinsi gani ya kuandaa sababu

karibu kwenye kumuapisha jk

pia umejitahidi kuleta upinzani na uzinzi uache
 
Hamna lolote; huyo kapewa hela na anajua anachofanya. Atawapa bendera na kadi bandia, halafu anachukua pesa yenu kisha kura yake inakwenda CHADEMA


huyu alikua chadema damu ila kachoshwa tu na uhuni huko kaja kwa watu wa kweli
 
[B said:
TANZANIA KWANZA[/B];1179564]mbona usianzie wakati wa utawala wa mzee mwinyi ambapo sukari ilikuwa chini ya sh.200 kwa kilo!! Chadema kwa udini tu! Yaani unaanzia wakati wa mkapa ili kuonyesha kuwa jk hafai!

Sasa kama slaa ataupata urais basi ujue bei ya sukari itazidi sh.3000 kwa kilo!!!

Maneno yako yanapingana sana na jina lako....Great thinker :nono:
 
Hivi huyu hajavunja sheria za JF kwa kutaja mtu ambaye hajachangia hapa?

Achana naye huyo...Huenda ana matatizo ya kufikiri make hata points zake ni za chuki tu!
Hatatusaidia lolote ktk kuleta mabadiliko ya nchi...
 
mbona usianzie wakati wa utawala wa mzee mwinyi ambapo sukari ilikuwa chini ya sh.200 kwa kilo!! Chadema kwa udini tu! Yaani unaanzia wakati wa mkapa ili kuonyesha kuwa jk hafai!

Sasa kama slaa ataupata urais basi ujue bei ya sukari itazidi sh.3000 kwa kilo!!!
hivi kwa nini usipigwe ban kwa hiyo koment yako ya kichochezi? kwa sababu hatujakoment ya mwinyi ndo tuseme tumekuwa wadini??? mbona huulizii enzi za nyerere we kalumekenge?
Hatukoment ya mwinyi kwa sababu nchi ilikuwa chini ya chama kimoja hakukuwa na ushindani wa sera.

Sasa nakushauri ukiweza kuepuka hiyo ban, ingia kwenye darasa hapa ujifunze namna ya kujivisha na kufunga nepi
 
Njaa ndo zinawasumbua watu kama hao. Unajua alichoahidiwa? Uliza kwanza mzee sio unatoa prop humu


nimuulize nani na mwenyewe keshaeleza mwenyewe from mouth of the horse


CCM chama kubwa na kushinda ni lazima si kubahatisha
 
Back
Top Bottom