Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Habari ndio hiyoHakika🤣🤣🤣🤣🪑💺
Tumepewa nchi nje ya uwanja , yaani ni bwerere, hakika dhuluma haidumu.Mzee wangu yupo CHADEMA sipati picha atakavyofurahi
Wabwabwajaji tu chadema wakoView attachment 2877931
Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetambuliwa rasmi kama chama kiongozi na kuagizwa kipewe maelezo kuhusu kila hatua ya maendeleo inayofanyika Nchini Tanzania.
Tuliwahi kuandika humu na kwingineko kwamba Chadema ndio inayotoa Dira na mwongozo wa nchi, nadhani sasa mnaanza kuthibitisha.
Daima kenge haamini kama ameumia hadi aone damu zinamtoka masikioni.View attachment 2877931
Hatimaye Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetambuliwa rasmi kama chama kiongozi na kuagizwa kipewe maelezo kuhusu kila hatua ya maendeleo inayofanyika Nchini Tanzania.
Tuliwahi kuandika humu na kwingineko kwamba Chadema ndio inayotoa Dira na mwongozo wa nchi, nadhani sasa mnaanza kuthibitisha.
Kufurahi ni lazima maana hii ni hatua kubwa sana .Mzee wangu yupo CHADEMA sipati picha atakavyofurahi
Makonda lazima atakata rufaa kupingaTumepewa nchi nje ya uwanja , yaani ni bwerere, hakika dhuluma haidumu.
Hadi waombe pooooOooh Chadema imekufa daddec inawa henyeshaje yaani mwendo wa Nginja nginja
Hutaki kajinyonge wewe ajuzaSasa hakuelewa nini mlivyoambiwa na Makonda kuwa kazi yenu ni watoa taarifa?
Dawa ya Makonda ni USADawa ya CHADEMA ni makonda
Kama imekuuma ichomoeWabwabwajaji tu chadema wako
Wewe saa huzi nipo Ghaza, "Hot News":Hutaki kajinyonge wewe ajuza
Pipa na mfuniko!Makonda lazima atakata rufaa kupinga